• HOME
  • HABARI
  • KITAIFA
  • BIASHARA
  • MATUKIO
  • MAISHA
  • DINI
  • MAGAZETI
  • MICHEZO
  • JAMII
          ZanziNews

Kwa Habari, Picha na Matukio Tembelea ZanziNews Tangaza nasi kwa bei nafuu (advertise with us ). Tupigie 0777 424152 au tuandikie (email) othmanmaulid@gmail.com

Habari za Punde

Labels

  • .
  • `
  • 8
  • AFYA
  • AFYA.
  • AJALI
  • BIASHARA
  • BURUDANI
  • DINI
  • ELIMU
  • FILAMU
  • HABARI
  • HARUSI
  • HOSPITALI
  • I
  • JAMII
  • KATUNI
  • Kii
  • KILIMO
  • KIMATAIFA
  • KITAIFA
  • Ku
  • MAGAZETI
  • Mahkamani
  • MAISHA
  • MAKALA
  • MAKALA AFYA.
  • MAKALA.
  • MATUKIO
  • MATUKIO.
  • MICHEZO
  • MITAANI
  • MIUNDOMBINU
  • MSAADA
  • Ok
  • SIASA
  • TANGAZO
  • TAWA YAWATAKA WATANZANIA KUCHANGAMKIA FURSA ZA UWEKEZAJI
  • TEKNOLOJIA
  • UCHUMI
  • UTAFITI
  • UTALII
  • VIDEO
  • VIJANA
  • VISA INTERNATIONAL YAZINDUA TAWI TANZANIANa Mwandishi wetu 16.07.2025DAR ES SALAAM
  • WEZI

Tafsiri ya Lugha


Popular Posts

  • Maadhimisho ya Wiki ya Mashirika ya Umma Zanzibar Viwanja vya Mapinduzi Square Michezani Jijini Zanzibar
     
  • Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Atangaza Matokeo ya Kura za Urais za Majimbo ya Fuoni na Kiembesamaki Zanzibar.
  • Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Yapokea Karatasi za Kupigia Kura Uchaguzi Mkuu 2025
    Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Thabit Idarous Faina (kushoto) akisaini hati za makabidhiano ya Karatasi za Kupigia Kura na Mk...
  • WASIRA: Nchi Ipo Salama Waambieni Watanzania Wakapige Kura *Amesisitiza kuchagua viongozi sahihi *Kura za urais apewe Dk. Samia wa CCM
    Makamu Mwenyekiti  wa CCM (Bara) Ndg. Stephen Wasira  akizungumza na viongozi wa CCM wilayani Bariadi Mkoa wa Simiyu,Oktoba 18, 2025 . Na Mw...
  • JAMII YAASWA KUHIFADHI MAZINGIRA KWA MUSTAKABALI WA TAIFA
    Na Mwandishi Wetu, West Kilimanjaro Jamii imetakiwa kushirikiana kikamilifu katika kudhibiti uharibifu wa mazingira ili kupunguza athari za ...
  • Maafisa Maendeleo Ibueni Fursa kwa Jamii -Felister Mdemu
    Na Witness Masalu- Iringa Naibu Katibu Mkuu wa Maendeleo ya Jamii Felister Mdemu ametoa amewahimiza  maafisa Maendeleo ya Jamii nchini kuubu...
  • Mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ Kati Mlandege na Mafunzo Mchezo Uliyofanyika Uwanja wa Mao ZedungTimu hizo Zimetoka Sare ya 0-0
    Mshambuliaji wa Timu ya Mlandege akiruka mkwanja wa  beki wa Timu ya Mafunzo wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ mchezo uliyofa...
  • Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan azungumza na wananchi wa Mpanda mkoani wa Katavi.
    Shamra shamra za mapokezi ya Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa N...
  • Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Philip Isdor Mpango Ashiriki Mazishi ya Kitaifa ya Raila Odinga Nchini Kenya
    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisalimiana na Naibu Rais wa Jamhuri ya Kenya Prof. Kithure Kindi...
  • Waangalizi wa Uchaguzi Watakiwa Kutoingilia Mchakato wa Uchaguzi Mkuu
    Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe.Jaji wa Mahakama Kuu Asina Omari akizungumza wakati wa ufunguzi wa kikao kazi cha siku moja ba...
Home MATUKIO MICHEZO TFF Yateuwa Kamati Ndogo ya Wajumbe 10 Watakaosimamia Soko la Zanzibar.

TFF Yateuwa Kamati Ndogo ya Wajumbe 10 Watakaosimamia Soko la Zanzibar.

zanzinews.com 3:13 PM



Shirikisho la Soka nchini Tanzania (TFF) limeteua kamati mpya ndogo ya wajumbe 10 watakao simamia soka la Zanzibar kwa muda mfupi.

Akizugumza na Wandishi wa Habari katika Ukumbi wa V.I.P wa uwanja wa Amaan Raisi wa Shirikisho hilo Wallace Karia amesema kamati hiyo itakuwa na jukumu la kusimamia upatikanaji wa Katiba ya ZFA, kushughulikia shughuli zote za ZFA za Kikatiba pamoja na kutayarisha Uchaguzi mpya kwaajili ya kupatikana viongozi wapya wa ZFA.

Karia amesema kamati hiyo wameiyunda baada ya vikao vya muda mrefu baina ya pande zote na kupata muafaka wa TFF kuunda kamati hiyo ambayo itafanya kazi zake hadi Novemba 30 mwaka huu.
..........CLIP... 1 KARIA...

Kuhusu suala la kamati ya iliounda mrajisi wa vyama vya michezo Karia amesema kamati hiyo kwa sasa haitofanya kazi tena baada ya TFF kuteuwa kamati hiyo ndogo na mazungumzo baina ya TFF na mrajisi wa vyama vya michezo Zanzibar yalifanyika na kufahamiana vizuri ambapo amewataja jumla ya wajumbe 10 wenye sifa na mapenzi ya Soka.
.........clip...2 Karia....
Baada ya kuundwa Kamati hiyo imezifuta kamati nyengine ndogo ndogo ikiwemo Kamati ya Soka la wanawake, Kamati ya Soka la Vijana (Central Taifa), Kamati ya Uchaguzi pamoja na Kamati ya Rufaa na Usuluhishi.

2 Attachments
ReplyReply to allForward
  • Blog comments
  • Facebook comments

1 comment:

  1. AnonymousOctober 5, 2018 at 5:30 PM

    Very Sad, ZFA tutafika kama hatuwezi kujiendesha mpaka muongozwe na watu wasiojua real situation on ground, Please stand for Zanzibar not personal Interests.

    ReplyDelete
    Replies
      Reply
Add comment
Load more...

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

BLOGU RAFIKI

  • ZanziNews
    Mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ Kati ya Malindi na JKU Mchezo Uliyofanyika Uwanja wa Maom Zedung Timu hizi Zimetoka Sare ya Bao 1-1 - Wachezaji wa Timu ya JKU na Malindi wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ,mchezo uliyofayika katika Uwanja wa Mao Zedung Jijin...
    7 hours ago
  • MICHUZI BLOG
    DK.SAMA AELEZA MIPANGO YA SERIKALI MIUNDOMBINU YA BARABARA KATIKA JIJI LA DAR - *Aahidi wananchi kushuhudia mageuzi makubwa kuanzia mwakani *Aweka wazi mkakati mabasi yaendayo haraka,ujenzi wa Fly Over tatu Na Said Mwishehe,Michuz...
    8 hours ago
  • Wazalendo 25 Blog
    Elimu : Bajeti za Elimu Zisipuuzwe wakati wa misukosuko ya Kiuchumi na Kisiasa Duniani - Kikwete na Malala Waonya. - Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete na mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel, Malala Yousafzai, wameonya juu ya mwenendo hatarishi duniani wa kupunguza au ku...
    4 days ago
  • PAMOJA BLOG
    MAHOJIANO YA TAUSI SUEDI NA AMRI NGOYE KUHUSU CSI KUPITIA KWANZA PRODUCTION NCHINI MAREKANI - Pata habari motomoto kupitia facebook kwa kulike huu ukurasa wetu https://www.facebook.com/pages/Pamojapureblogspotcom/312633955485619?ref=hl
    7 years ago

Marafiki Duniani

Popular Posts

  • Innaa Lillaahi Wainnaa ilayhi Raajiuun Buriani Marin Hassan Marin. Wafanyakazi wa TBC Wauaga Mwili wa Marehemu Katika Viwanja Vya Mikocheni Jijini Da es Salaam Mchana Huu na Kupelekwa Masjid Maamur Upanga Kwa Ajili Taratibu za Kusafirisha Mwili wa Marehemu Kuelekea Zanzibar Kwa Maziko
    Mwili wa Marehemu unatarajiwa kuwasili Zanzibar  majira ya mchana kwa Ndege na kuendelea na taratibu za Maziko yatafanyika katika Mtaa wa...
  • Bei ya Fedha za Kigeni leo Zanzibar.
  • Form Four Examination Results 2017/2018 Matokeo ya Kidato Cha Nne
    The United Republic Of Tanzania National Examination Council of Tanzania Form Four Examination Results 2017/2018 The  National E...
  • Rais Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein Ajumuika na Wananchi Katika Maziko ya Waziri Kiongozi Mstaaf wa Kwanza Zanzibar Marehemu Ramadhan Haji Faki. Yaliofanyika leo 29-3-2020.
    Makamanda wa JWTZ wakiwa wamebeba mwili wa Marehemu Waziri Kiongozi wa Kwanza wa Zanzibar na Brigedia Jenerali Mstaaf Ramadhani Haji Faki...
  • Matokeo ya mitihani ya kidato cha pili, darasa la sita na saba hadharani
    Na Miza Kona/Rahma Khamis Maelezo-Zanzibar  Jumla ya wanafunzi 16,744 wamechaguliwa kuendelea masomo ya kidatu cha tatu kati ya wanafun...
  • Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Atangaza Matokeo ya Kura za Urais za Majimbo ya Fuoni na Kiembesamaki Zanzibar.
  • LUSAJO SAJENT WA SERENA HOTELI NA NEEMA MATOWE WALIVYO MEREMETA
      Bwana Harusi Lusajo Sajent Mwangambaku (kushoto), akiwa katika pozi na mke wake Neema Stanley Matowe katika hafla yake ya ndoa iliyofa...
  • Filamu fupi ya kusisimua "Kifo" kutoka Bongo Movie Shinyanga na Agape
    Mama mjazito akihangaika na hatimaye kupoteza maisha kutokana na mimba za utotoni..Video ipo hapo chini baada ya maelezo mafupi
  • Hotuba ya Waziri wa Afya katika maadhimisho ya siku ya Malaria duniani
    Hutuba ya Mhe Waziri wa Afya Nd. Mahmoud Thabit Kombo kwa Waandishi wa Habari Katika Maadhimisho ya Siku ya Malaria Dunia Zanzibar, 22...
  • Balozi wa Kuwait Nchini Tanzania Balozi Jasem Al-Najem Akabidhi Msaada wa Madawa na Maji kwa Ajili ya Kambi za Kipundupindu Zanzibar.
    Madawa na Maji vilivyokabidhiwa na Balozi wa Kuwait Nchini  Tanzania Balozi   Jasem Al-Najem,  kwa Wizara ya Afya kwa ajili ya Kambi za K...

WALIOTEMBELEA BLOG HII

Flag Counter

ZanziNews Mafoto Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.