Habari za Punde

Waziri wa Afya akagua maendeleo ya ujenzi wa Kituo cha Taasisi ya Mambo ya Afya Zanzibar

 Waziri wa Afya Zanzibar Hamad Rashid Mohamed akipatiwa maelezo na Injinia wa ujenzi wa kituo cha Taasisi ya Mambo ya Afya Mohammed Nahoda Mohammed katika ziara ya kutembelea kituo hicho kilichupo Binguni Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja.
  Mkurugenzi wa Taasisi ya Mambo ya Afya Zanzibar Dkt. Mayssa Salum Ali akimuelezea Waziri wa Afya Zanzibar Hamad Rashid Mohamed katikati juu ya mafundi wanavyoendelea na ujenzi, kushoto ni Naibu Mkurugenzi wa Taasisi hiyo Khamis Rashid Mohammed.

Mafundi wakiendelea na ujenzi wa Kituo cha  Taasisi ya Mambo ya Afya  Zanzibar.

Eneo la mipaka ya Kituo cha  Taasisi ya Mambo ya Afya  Zanzibar likionekanwa tayari limezungushiwa Nguzo kwaajili ya kulihami na Uvamizi wa Wananchi.
Picha na Abdalla Omar Maelezo – Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.