RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein
akiagana na wakuu wa Vikosi vya ulinzi na usalama katika Uwanja wa Ndege wa
Kimataifa Abeid Amani Karume, wakati akielekea Nchini Kenya kwa ziara ya
Kiserikali kuhudhuria mkutano wa Uchumi wa Bahari, ambapo anamuakilisha Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein
akiagana na wakuu wa Vikosi vya ulinzi na usalama katika Uwanja wa Ndege wa
Kimataifa Abeid Amani Karume, wakati akielekea Nchini Kenya kwa ziara ya
Kiserikali kuhudhuria mkutano wa Uchumi wa Bahari, ambapo anamuakilisha Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein akiagana
na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Salum Maulid
Salum katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Abeid Amani Karume, wakati akielekea
Nchini Kenya kwa ziara ya Kiserikali kuhudhuria mkutano wa Uchumi wa Bahari,
ambapo anamuakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe
Magufuli
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein
akiagana na Wazee mbalimbali waliofika
katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa Abeid Amani Karume, wakati akielekea
Nchini Kenya kwa ziara ya Kiserikali kuhudhuria mkutano wa Uchumi wa Bahari,
ambapo anamuakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe
Magufuli.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein akiagana na Viongozi wa Chama cha Mapinduzi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Abeid Amani Karume, wakati akielekea Nchini Kenya kwa ziara ya Kiserikali kuhudhuria mkutano wa Uchumi wa Bahari, ambapo anamuakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein
akiagana na Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi, ambae pia ni Mkuu wa Mkoa wa
Kusini Unguja, Hassan Khatib Hassan
katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Abeid Amani Karume, wakati akielekea
Nchini Kenya kwa ziara ya Kiserikali kuhudhuria mkutano wa Uchumi wa Bahari,
ambapo anamuakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe
Magufuli
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein
akiagana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd katika Uwanja
wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, wakati akielekea Nchini Kenya kwa
ziara ya Kiserikali kuhudhuria mkutano wa Uchumi wa Bahari, ambapo
anamuakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe
Magufuli.
RAIS wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein
akisalimiana na Marubani wa Ndege ya Rais katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
Abeid Amani Karume, kabla ya kuanza safari ya kuelekea Nchini Kenya kwa ziara
ya Kiserikali kuhudhuria mkutano wa Uchumi wa Bahari, ambapo anamuakilisha Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli.(Picha na Haroub Hussein)
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Braza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein,
ameondoka nchini leo kuelekea nchini Kenya kwa ziara ya Kiserikali ya siku
mbili.
Katika
ziara hiyo Dk.Shein anamuwakilisha Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania,
Dk. John Pombe Magufuli.
Akiongoza
ujumbe wa Tanzania, Dk. Shein amefuatana na Viongozi mbali mbali wa Serikali za
Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, ambapo
watahudhuria katika mkutano utaojalidi uchumi wa Bahari, utakaofanyika jijini
Nairobi.
Mkutano
huo unatarajiwa kuzishirikisha zaidi ya nchi saba Barani Afrika.
Katika
uwanja wa Ndege wa Abeid Amani Karume, Dk. Shein ameagwa na viongozi mbali
mbali wa chama na serikali, akiwemo Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi
Seif Ali Idd.
Abdi Shamnah,
Ikulu Zanzibar
Postal Address: 2422 Tel.:0777427449. Fax:
024 2231822
E-mail: abdya062@gmail.com
No comments:
Post a Comment