Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Kushoto akifanya mzaha na Rais Mstaafu wa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania wa Awamu ya Pili Mzee Ali Hassan Mwinyi alipofika Nyumbani Kwake Jijini Dar es salaam kumjulia hali.
Rais Mstaafu wa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania wa Awamu ya Pili Mzee Ali Hassan Mwinyi Kushoto akibadilishana mawazo na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi aliyefika Nyumbani Kwake Jijini Dar es salaam kumjulia hali.
Picha na – OMPR – ZNZ.
No comments:
Post a Comment