MKURUGENZI wa Jumuiya ya Ustawishaji wa Zao la Karafuu na Viungo Pemba (JUKAVIPE) Hassan Ali Bakari akifungua mkutano wa Tathmini ya nusu ya kwanza ya mafunzo ya Ujasirimali, yanayotolewa kupitia mradi wa utekelezaji wa serea na sheria ya Mabaraza ya Vijana katika Wilaya ya Mkoani Pemba, huko katika skuli ya sekondani Ngachan.
MJUMBE wa Bodi ya JUKAVIPE Khatiba Juma Mjaja, akizungumza wakati wa kikao cha Tathmini ya nusu ya kwanza ya mafunzo ya Ujasirimali, yanayotolewa kupitia mradi wa utekelezaji wa serea na sheria ya Mabaraza ya Vijana katika Wilaya ya Mkoani Pemba, huko katika skuli ya sekondani Ngachani
MJUKMBE wa Bodi ya JUKAVIPE Said Mohamed Ali mwenyekofia, akichangia katika kikao cha Tathmini ya nusu ya kwanza ya mafunzo ya Ujasirimali, yanayotolewa kupitia mradi wa utekelezaji wa serea na sheria ya Mabaraza ya Vijana katika Wilaya ya Mkoani Pemba, huko katika skuli ya sekondani Ngachani.
(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
No comments:
Post a Comment