Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta wakiwa
wameshikana mkono wakati wakimwagia maji
mti mara baada ya kuupanda wakati wa hafla ya ufunguzi wa Kituo cha Kutoa
huduma kwa pamoja mpakani Namanga One
Stop Border Post (OSBP) upande wa Kenya.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipongezana na Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta
mara baada ya kufungua Kituo cha Kutoa huduma kwa pamoja mpakani Namanga One Stop Border Post (OSBP) upande wa
Kenya.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na Rais wa
Kenya Uhuru Kenyatta wakipanda mti mara baada ya mara baada ya kufungua Kituo
cha Kutoa huduma kwa pamoja mpakani Namanga One Stop Border Post (OSBP) upande wa Kenya.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta
wakipata maelezo ya kituo hicho cha Kutoa huduma kwa pamoja mpakani Namanga One Stop Border Post (OSBP) upande wa
Kenya.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Rais
wa Kenya Uhuru Kenyatta katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa kituo cha
Kutoa huduma kwa pamoja mpakani Namanga One
Stop Border Post (OSBP) upande wa Kenya.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Rais
wa Kenya Uhuru Kenyatta wakati wakikata utepe kuashiria ufunguzi wa Kituo cha
Kutoa huduma kwa pamoja mpakani Namanga One
Stop Border Post (OSBP) upande wa Tanzania.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta wakipungia wananchi mara baada ya kuwasili
katika eneo la mkutano pembezoni mwa Kituo cha Kutoa huduma kwa pamoja mpakani
Namanga One Stop Border Post (OSBP)
upande wa Tanzania.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta wakifurahi nyimbo zilizokuwa zikipigwa na
bendi ya polisi katika hafla ya ufunguzi wa vituo hivyo vya mpakani.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta wakizungumza jambo jijini Arusha kabla ya
kupanda gari kuelekea Namanga mpani mwa Tanzania na Kenya.
Picha na Ikulu.
No comments:
Post a Comment