Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Rais
Mstaafu wa awamu ya pili Mhe.Ali Hassan Mwinyi alipomtembelea kumjulia
hali Jijini Dar es Salaam.Disemba 5,2018
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli wakiomba Dua Maalumu na Rais Mstaafu wa awamu ya pili
Mhe.Ali Hassan Mwinyi, Bi. Khadija Mwinyi (Mke wa Mzee Mwinyi) pamoja na Abdallah
Mwinyi (Mtoto wa Mzee Mwinyi) alipomtembelea kumjulia hali Jijini Dar es
Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli akizungumza na Rais Mstaafu wa awamu ya pili Mhe.Ali Hassan
Mwinyi alipomtembelea kumjulia hali Jijini
Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Bi
Sitti Mwinyi Mke wa Rais Mstaafu wa awamu ya pili Mhe.Ali Hassan Mwinyi
alipomtembelea kumjulia hali Rais
Mstaafu Jijini Dar es Salaam.Disemba 5,2018
PICHA
NA IKULU
No comments:
Post a Comment