Habari za Punde

Shirika la Biasharala Taifa Zanzibar ZSTC Yaadhimisha Miaka 50 Tangu Kuazishwa Kwake Mwaka 1968 Zanzibar.

Kikundi cha Taifa cha Taraab Zanzibar kikitoa burudani wakati wa Maadhimisho ya Miaka 50 ya Shirika la Biashara la Taifa Zanzibar ZSTC, Maadhimisho hayo yamefanyika katika Viwanja vya Hoteli Verde Mtoni Zanzibar jana usiku.












































No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.