Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Omar Othman Makungu kulia Jaji wa Mahakamu Kuu Zanzibar Mhe. Abdulhakim Issa Ameir na kushoto Jaji wa Mahakamu Kuu Zanzibar Mhe. Abraham Mwampashi, wakiwa katika maandamano maalum ya kuadhimisha Siku ya Sheria Zanzibar, wakipita katika mitaa ya Wete Pemba wakielekea katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Wete Pemba.
TANTRADE YASHIRIKIANA NA WIZARA YA MAMBO YA NJE KUTOA MAFUNZO YA UUZAJI
BIDHAA, UINGEREZA.
-
Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TANTARADE) kwa kushirikiana na
Wizara ya Mambo ya Nje na Wizara ya Viwanda na Biashara Imeratibu Semina ya
Waf...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment