Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Omar Othman Makungu kulia Jaji wa Mahakamu Kuu Zanzibar Mhe. Abdulhakim Issa Ameir na kushoto Jaji wa Mahakamu Kuu Zanzibar Mhe. Abraham Mwampashi, wakiwa katika maandamano maalum ya kuadhimisha Siku ya Sheria Zanzibar, wakipita katika mitaa ya Wete Pemba wakielekea katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Wete Pemba.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Philip Mpango
Ametembelea Lituo cha Umahiri cha Matibabu cha Afrika
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango
akitembelea Kituo cha Umahiri cha Matibabu ya Kibingwa cha Afrika kilichopo
Abu...
3 minutes ago
No comments:
Post a Comment