Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Omar Othman Makungu kulia Jaji wa Mahakamu Kuu Zanzibar Mhe. Abdulhakim Issa Ameir na kushoto Jaji wa Mahakamu Kuu Zanzibar Mhe. Abraham Mwampashi, wakiwa katika maandamano maalum ya kuadhimisha Siku ya Sheria Zanzibar, wakipita katika mitaa ya Wete Pemba wakielekea katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Wete Pemba.
MARRY CHATANDA :SERIKALI CHINI YA DK SAMIA IMEITEKELEZA VEMA ILANI 2020-2025
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
MRATIBU wa Uchaguzi Mkuu Mkoa wa Dar es Salaam Marry Chatanda amesema
Serikali inayoongozwa na Rais Dk.Samia Suluhu Hassan i...
8 hours ago

No comments:
Post a Comment