Habari za Punde

Wasanii wa Vichekesho Kisiwani Pemba Maarufu Kwa Jina la Kachara Watowa Burudani Siku ya Sheria Zanzibar Iliofanyika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Wete Pemba leo.

Wasanii wa Kikundi cha Kachara Kisiwani Pemba wakiwasili katika viwanja vya Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Wete Pemba, kuhudhuria hafla ya Maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar, zilizofanyika katika ukumbi huo. 

Wasanii wa Kikundi cha Kachara wakionesha burudani ya Igizo la Ukiukwaji wa Sheria unaofanywa na baadhi ya Wananchi, igizi hilo walilionesha wakati wa maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar, zilizofanyika katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Wete Pemba. 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.