Naibu Mkurugenzi mtendaji wa benk ya watu wa Zanzibar (PBZ) Khadija Shamte Mzee akitiliana saini na mwakilishi wa shirila la simu Tanzania TTCL Alphones Mozes mashirikiano katika uendeshwaji wa huduma za kifedha kupitia simu ya mkononi,makubaliano hayo yametiwa saini leo katika ukumbi wa makao makuu ya benk hio ilipo Mpirani mjini Unguja.
TANCDA Yatoa Wito wa Mabadiliko ya Maisha; Yazindua Mpango wa Kidijitali wa
Smart Health Journey
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
MUUNGANO wa Magonjwa Yasiyo ya Kuambukiza Tanzania (TANCDA) umetoa wito wa
mabadiliko ya haraka ya mitindo ya maisha mi...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment