Habari za Punde

Vijana Watakiwa Kuwa Wazalendo na Taifa Lao.


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulika Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Jenista Mhagama akikabidhi Bendera ya Taifa kwa vijana watakaopanda Mlima Kilimanjaro ikiwa ni kuadhimisha kumbukumbu ya miaka 20 ya Kifo cha Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere.

Vijana wanaotarajiwa kupanda Mlima Kilimanjaro wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulika Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Jenista Mhagama kabla ya kuanza safari ya kupanda mlima huo.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulika Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Jenista Mhagama akifurahia jambo wakati wa kuwaaga vijana kabla ya kuanza zoezi la kupanda Mlima Kilimanjaro.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulika Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Jenista Mhagama akiwa kwenye picha ya pamoja na Viongozi mbalimbali, Uongozi wa Hifadhi ya Mlima Kilimanjaro na Vijana watakaopanda Mlima Kilimanjaro.
Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi Vijana na Ajira na Wenye Ulemavu)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.