Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na mgeni wake Rais wa Rwanda Paul Kagame mara
baada ya kuwasili uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere
Teminal 1 wakati akijiandaa kurejea nchini Rwanda mara baada ya kumaliza ziara
yake ya siku mbili jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mgeni wake Rais wa
Rwanda Paul Kagame wakipita kwenye Gadi
ya heshma iliyoandaliwa na Jeshi la
Wananchi wa Tanzania JWTZ katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius
Nyerere Terminal 1 jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na
mgeni wake Rais wa Rwanda Paul Kagame wakati akimsindikiza kwenda kupanda ndege
katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es
Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na mgeni
wake Rais wa Rwanda Paul Kagame katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu
Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na
vikundi mbalimbali vya ushehereshaji katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa
Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam mara baada ya kumsindikiza
mgeni wake Rais wa Rwanda Paul Kagame.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na vikundi mbalimbali
vya ushehereshaji kwa kuwapungia mkono
mara baada ya kumsindikiza mgeni wake
Rais wa Rwanda Paul Kagame.
PICHA NA
IKULU.
No comments:
Post a Comment