Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Simai Mohammed Said (kulia) akizungumza na Maafisa Elimu wa Mikoa na Wilaya za Pemba, Waratibu wa Idara za Elimu na Wakuu wa Vitengo mbali mbali vya Idara hizo katika Ukumbi wa Ofisi kuu ya Wizara ya Elimu Pemba.
Rais na Mgombea wa nafasi ya Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan
apiga Kura katika Kituo cha Ofisi ya Kijiji Chamwino mkoani Dodoma
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mgombea wa nafasi ya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM)
M...
23 hours ago



No comments:
Post a Comment