Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Chake Chake Pemba Ndg. Khamis Salum Khamis, akizungumza na vijana wa CCM Wilaya hiyo, madaktari wa hospitali ya ChakeChake, mara baada ya kumaliza kazi ya ufanyaji wa usafi katika hopitali hiyo, ikiwa ni kuelekea maadhimisho ya siku ya wazazi Kitaifa.
(Picha na Hanifa Salim Pemba)
No comments:
Post a Comment