Mchezo wa Fainali ya Kombe la Muungano Kati ya Mabingwa Watetezi Timu ya Jangombe Boys Unaofanyika Uwanja wa Amaan Timu hizo zikiwa sare ya bao 1-1
Wachezaji wa Timu ya Jangombe Boys Wakishangilia bao la kusawazisha lililofungwa na. Mshambuliaji Mustafa Vuai. katika Dakika ya 60 ya kipindi cha Pili
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan ahutubia
wananchi wa majimbo ya Ilala, Segerea, Kivule na Ukonga katika uwanja wa
Kecha Kinyerezi Jijini Dar es Salaam
-
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan
akizungumza ...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment