Mchezaji wa Timu ya Jangombe Boys akiwa na mpira akijaribu kumpita beki wa Timu ya Pan African wakati wa mchezo wao wa Fainali ya Kombe la Muungano Uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar Timu ya Pan African imeibuka B ingwa kwa Mwaka huu 2018/2019, baada ya kuwafungwa Mabingwa Watetezi Timu ya Jangombe Boys ilioutoa Ubingwa huo Jijini Dar es Salaam Mwaka jana.
Mkuu waWilaya ya Kaskazini A Unguja Ndg.Rajab Ali Rajab akisalimiana na Kocha Mkuu wa Timu ya Pan Afrikan baada ya kumalizika mchezo huo wa Fainali ya Kombe la Muungani iliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar.
No comments:
Post a Comment