Mkuu waWilaya ya Kaskazini A Unguja Ndg.Rajab Ali Rajab akimkabidhi Kombe nahodha wa Timu ya Pan Africa Hafidh Jaffar,baada ya kufunga Timu ya Jangombe Boys, kwa mikwaju ya peneti mchezo uliofanyika uwanja wa Amaan Zanzibar.
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan ahutubia
wananchi wa majimbo ya Ilala, Segerea, Kivule na Ukonga katika uwanja wa
Kecha Kinyerezi Jijini Dar es Salaam
-
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan
akizungumza ...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment