Mshambuklioaji wa Timu ya KVZ akiwapita wachezaji wa Timu ya KMKM wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar,Timu ya KMKM imeibuka mshindi wa mchezo huo kwa bao 2-0 na kuutowa Ubingwa wa Ligi Kuu ya Zanzibar kwa mwaka 2018/2019.
Ligi Kuu ya Zanzibar Kati ya KmKm na KVZ mchezo Uliofanyika katika Uwanja wa Amani Timu ya KMKM imeshinda Mchezo huo bao 2 - 0.
Ikiongozwa Ligi Kwa Point 77, hakuna Timu itakayofikisha na kusubiri kutangazwa Bingwa kwa msimu huu.2018/219.
No comments:
Post a Comment