Muonekano wa Barabara Kuu ya Mafinga Igawa (TANZAM HIGH WAY) iliozinduliwa na leo na Rais wa Jamuhuri ya Muungano Mhe.Dkt. John Magufuli akiwa katika ziara yake
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mkewe Mama Janeth
Magufuli pamoja na viongozi wengine akikata utepe kuashiria ufunguzi wa
barabara kuu ya TANZAM sehemu ya Mafinga-Igawa km 138.7 katika sherehe
zilizofanyika Wanging’ombe Makambako mkoani Njombe.
No comments:
Post a Comment