Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Mkewe Mama
Janeth Magufuli pamoja na Viongozi wengine wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na
Mawasiliano, Mkoa wa Mtwara, Wabunge na viongozi wengine akikata utepe kuashiria
uzinduzi wa Mitambo itaayotumika katika ujenzi wa Barabara ya
Mtwara-Newala-Masasi km 210 sehemu ya Mtwara-Mnivata km 50 katika hafla
iliyofanyika sehemu ya Naliendelea mkoani Mtwara.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Mkewe Mama
Janeth Magufuli pamoja na Viongozi wengine wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na
Mawasiliano, Mkoa wa Mtwara, Wabunge na viongozi wengine akivuta utepe kuweka
jiwe la msingi katika ujenzi wa Barabara ya Mtwara-Newala-Masasi km 210 sehemu
ya Mtwara-Mnivata km 50 katika hafla iliyofanyika sehemu ya Naliendelea mkoani
Mtwara.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia wananchi
wa Naliendele mkoani Mtwara kabla ya kuweka jiwe la msingi katika ujenzi wa
Barabara ya Mtwara-Newala-Masasi km 210 sehemu ya Mtwara-Mnivata km 50.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwasalimia
wanachi wa Naliendele mkoani Mtwara wakati akielekea kuweka jiwe la msingi
katika ujenzi wa Barabara ya Mtwara-Newala-Masasi km 210 sehemu ya
Mtwara-Mnivata km 50.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwasalimia
wanachi wa Naliendele mkoani Mtwara wakati akielekea kuweka jiwe la msingi
katika ujenzi wa Barabara ya Mtwara-Newala-Masasi km 210 sehemu ya
Mtwara-Mnivata km 50.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na
Wananchi wa Nanguruwe mkoani Mtwara wakati akielekaea Newala.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na
Mbunge wa zamani wa Mtwara mjini Murji mara baada ya kuweka jiwe la msingi
mradi wa ujenzi huo wa barabara.
Wananchi
wa Nanguruwe Mtwara vijijini wakishangilia mara baada ya Rais Dkt. John Pombe
Magufuli kuwatatulia sehemu itakapojengwa hospitali katikka eneo hilo.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na
Wananchi wa Nanguruwe mkoani Mtwara wakati akielekaea Newala.
No comments:
Post a Comment