Habari za Punde

NEC yawataka wasimamizi wa uchaguzi kuzingatia katiba na sheria kusimamia uchaguzi mdogo kata 32

Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (R ) Mbarouk Salum Mbarouk. akizungumza wakati wa mkutano wa wasimamizi wa Uchaguzi kuzingatia Katiba na Sheria katika uchaguzi mdogo wa kata 32. 




Na Wandishiwa NEC, Dodoma
MakamuMwenyekitiwaTumeyaTaifayaUchaguzi (NEC) Jaji (R) MbaroukSalumMbaroukamewatakawasimamiziwauchaguzinawasimamiziwasaidiziwauchaguzikuzingatiamatakwayaKatibanaSheriazinazosimamiauchaguzinchinikatikakusimamiauchaguzimdogowaudiwanikatika kata 32 unaotarajiwakufanyikaJuni 15 mwakahuu.
JajiMbaroukameyasemahayowakatiakifunguamafunzoyausimamiziwauchaguzikwawasimamiziwauchaguzinawasimamiziwasaidiziwauchaguzikutoka kata 32 nahalmashauri 20 za Tanzania Bara zinazotarajiakushirikikatikauchaguzihuo, yanayofanyikajijini Dodoma.
Alisemapamojanabaadhiyawasimamizikuwanauzoefukatikakusimamiachaguzimbalimbali, aliwasisitizakuzingatiamaelekezowatakayopewanaTumekatikakusimamiauchaguzihuobadalayakusimamiakwamazoeakwani NEC imewaaminikuwawanawezakutekelezamajukumuyaokwakuzingatiamatakwayaKatibanaSheria.
“Nduguwashirikimnatakiwakutambuakuwammeaminiwanakuteuliwakwasababumnaouwezowakufanyakazihiijambo la muhimunikujiamininakujitambuanakwambamtapaswakuzingatiasheria, miongozo, kanuninamaelekezoyanayotolewanaTumekwaajiliyakuendeshanakusimamiachaguzi” alisemaJajiMbarouk.
Kwa upande wake MkurugenziwaUchaguziwa NEC Dkt. AthumaniKihamiaaliwatakawasimamizihaowauchaguzikuwepomudawotewakatiwakutekelezamajukumuyauchaguzinahata pale inapotokeadharurawahakikisheanakuwepomsimamiziatakayetekezamajukumuyao.
“Ni vyemamkafahamukwambakipindihikiambachommeshateuliwanakuapakuwawasimamiziwauchaguzi, weweunakuwamtumishiwaTumeyaTaifayaUchaguzikwamudahuo.Kwahiyonivyemaukawaofisinimudawoteukiondoadharura” alisemaDkt. Kihamia.
AlifafanuakuwasualahilolimetolewamuongozokatikaMaadiliyaUchaguziyamwaka 2015 sehemuya 4 (1), watendajiwotewauchaguzikatikakipindi cha uteuziwawagombea, katikakipindi cha upigajikuranakatikahatuayoyoteyamchakatowauchaguzi.
Katikamafunzohayo, wasimamiziwauchaguzinawasimamiziwasaidiziwauchaguziwalikulakiapo cha kujitoauanachamawachama cha siasambeleyaHakimu ArnoldKirekianoambapomadambalimbalizitawasilishwakuhusuhatuambalimbalizamchakatowauchaguzi

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.