Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Rais wa Zimbabwe Mhe. Emmerson Mnangagwa mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Robert
Mugabe nchini Zimbabwe.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na mwenyeji wake Rais wa
Zimbabwe Mhe.Emmerson Mnangagwa wakipokea zawadi za maua kutoka kwa watoto wa
Zimbabwe mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Robert Mugabe nchini
Zimbabwe.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na mwenyeji wake Rais wa
Zimbabwe Mhe. Emmerson Mnangagwa wakiwa wamesimama wakati nyimbo za taifa za
Tanzania na Zimbabwe zilipokuwa zikipigwa mara baada ya kuwasili nchini Zimbabwe.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akipunga mkono pamoja na mwenyeji wake Rais wa Zimbabwe Mhe.Emmerson Mnangagwa wakati wakiangalia vikundi vya ngoma za asili mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Robert Mugabe nchini Zimbabwe.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akipunga mkono pamoja na mwenyeji wake Rais wa Zimbabwe Mhe.Emmerson Mnangagwa wakati wakiangalia vikundi vya ngoma za asili mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Robert Mugabe nchini Zimbabwe.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akipunga mkono pamoja na mwenyeji wake
Rais wa Zimbabwe Mhe.Emmerson Mnangagwa wakati wakiangalia vikundi vya ngoma za asili mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa
Robert Mugabe nchini Zimbabwe.
Picha na Ikulu.
No comments:
Post a Comment