Habari za Punde

Kamishna wa Hifadhi ya TANAPA,Dkt.Allan Kijazi Awavisha Vyeo Askari Uhifadhi Wakuu na Waandamizi

Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA)Dkt,Allan Kijazi akikagua Gwaride maalumu lililoandaliwa kwa ajili ya programu ya kuvalisha Vyeo Askari Uhifadhi Wakuu na Askari Waandamizi .
Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA),Dkt Allan Kijazi akipokea saluti kutoka kwa kiongozi wa  Brass Bendi ya Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA)  mara baada ya kufanya ukaguzi.
  Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA)Dkt, Allan Kijazi akiongozwa kuelekea katika Jukwaa mara baada ya kuhitimisha zoezi la ukaguzi kwa askari wa Uhifadhi wakati wa Gwaride Maalumu lililoandaliwa kwa ajili ya programu ya kuvalisha Vyeo Askari Uhifadhi Wakuu na Askari Waandamizi .
Askari Uhifadhi Wakuu na Askari Waandamizi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) wakila kiapo cha utii wakati wa programu ya kuvalisha Vyeo Askari Uhifadhi Wakuu na Askari Waandamizi iliyofanyika katika viwanja vya shule ya Msingi Mto wa Mbu katika wilaya ya Monduli..
Brass Band ya  Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) ikiongoza Gwaride Maalumu kutoka nje ya uwanja.
Gwaride likitoka nje ya Uwanja.
Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA)Dkt,Allan Kijazi akiwavisha vyeo vipya vya kijeshi Askari Waandamizi wa shirika hilo programu iliyofanyika katika viwanja vya shule ya msingi Mto wa Mbu wilayani Monduli. 
Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA)Dkt,Allan Kijazi akiwavisha vyeo vipya vya kijeshi Askari Wakuu wa shirika hilo programu iliyofanyika katika viwanja vya shule ya msingi Mto wa Mbu wilayani Monduli.
Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA)Dkt,Allan Kijazi akizungumza mara baada ya kuwavisha vyeo vipya vya kijeshi Askari Wakuuu na Askari Waandamizi wa shirika hilo programu iliyofanyika katika viwanja vya shule ya msingi Mto wa Mbu wilayani Monduli.
Baadhi ya Makamishna Wasaidizi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) pia walikuwa ni miongoni mwa walioshuhudia uvishwaji huo wa vyeo vipya kwa Askari Wakuu na Askari Waandamizi .
Naibu Kamishna-Uhifadhi na Maendeleo ya Biashara TANAPA ,William Mwakilema akizungumza wakati wa hafla hiyo.
Naibu Kamishna wa Uhifadhi -Fedha na Rasilimali watu -TANAPA, Nassoro Mndeme akizungumza wakati wa zoezi la uvishaji vyeo vipya kwa Askari Uhifadhi Wakuu na Waandamizi.
Baadhi ya Makamishna Wasaidizi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) pia walikuwa ni miongoni mwa walioshuhudia uvishwaji huo wa vyeo vipya kwa Askari Wakuu na Askari Waandamizi .
Kamishna wa Uhifadhi Msaidizi Mwandamizi Mawasiliano TANAPA,Pascal Sheletete akitoa maelezo ya namna ya zoezi la upigaji picha za pamoja litafanyika.
Mgeni Rasmi Kamishna Uhifadhi (TANAPA)Dkt,Allan Kijazi akiwa katika picha ya pamoja na Askari Wakuu mara baada ya kuvikwa vyeo vipya . 
Mgeni Rasmi Kamishna Uhifadhi (TANAPA)Dkt,Allan Kijazi akiwa katika picha ya pamoja na Makamishna Uhifadhi Wasaidizi Waandamizi mara baada ya baada ya kuwavisha  vyeo vipya kwa Askari  Uhifadhi Wakuu na Waandamizi .
Askari Uhifadhi  Wakuu na Waandamizi wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuapishwa na kuvikwa vyeo vipya.

Na Dixon Busagaga wa Michuzi TV.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.