Rais wa Jamhuri ya Kongo (DRC) Mhe.
Felix Antonio Tshisekedi akikabidhiwa Ua la ishara ya Upendo na kumkaribisha
Nchini mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius
Nyerere Jijini Dar es salaam ambapo amepokelewa na mwenyeji wake Rais
Dkt.John Pombe Magufuli kabla ya
kuelekea Ikulu kwaajili ya Mazungumzo na Dhifa ya Kitaifa.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli
akisalimiana na Mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Kongo (DRC) Mhe. Felix Antonio
Tshisekedi alipowasili katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere
Jijini Dar es salaam kabla ya kuelekea Ikulu kwaajili ya Mazungumzo na Dhifa ya
Kitaifa.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John
Pombe Magufuli akiwa na Mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Kongo (DRC) Mhe.
Felix Antonio Tshisekedi wakati wimbo wa Taifa ukipigwa katika Uwanja wa ndege
wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es salaam kabla ya kuelekea Ikulu
kwaajili ya Mazungumzo na Dhifa ya Kitaifa.
Rais
wa Jamhuri ya Kongo (DRC) Mhe. Felix Antonio Tshisekedi akikagua paredi maalumu
aliyoandaliwa na Jeshi la Wananchi (JWTZ) mara baada ya kuwasili katika Uwanja
wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es salaam ambapo amepokelewa
na mwenyeji wake Rais Dkt.John Pombe
Magufuli kabla ya kuelekea Ikulu kwaajili ya Mazungumzo na Dhifa ya Kitaifa.
Gwaride
maalumu lililoandaliwa na Jeshi la Wananchi (JWTZ) likipita mbele ya Rais wa
Jamhuri ya Kongo (DRC) Mhe. Felix Antonio Tshisekedi na mwenyeji wake Rais
Dkt.John Pombe Magufuli wakitoa heshima katika
hafla ya mapokezi iliyofanyika katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius
Nyerere Jijini Dar es salaam kabla ya kuelekea Ikulu kwaajili ya Mazungumzo na
Dhifa ya Kitaifa.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John
Pombe Magufuli akiwa na Mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Kongo (DRC) Mhe.
Felix Antonio Tshisekedi wakati wakitazama kikundi cha ngoma wakati wa sherehe
za kumkaribisha Rais wa Kongo katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius
Nyerere Jijini Dar es salaam kabla ya kuelekea Ikulu kwaajili ya Mazungumzo na
Dhifa ya Kitaifa.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John
Pombe Magufuli akiwa na Mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Kongo (DRC) Mhe.
Felix Antonio Tshisekedi wakati wakiwapungia mikono wananchin waliojitokeza
katika sherehe za kumkaribisha Rais wa Kongo katika Uwanja wa ndege wa
Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es salaam kabla ya kuelekea Ikulu
kwaajili ya Mazungumzo na Dhifa ya Kitaifa.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John
Pombe Magufuli akiwa na Mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Kongo (DRC) Mhe.
Felix Antonio Tshisekedi wakati wakiwapungia mikono wananchin waliojitokeza
katika sherehe za kumkaribisha Rais wa Kongo katika Uwanja wa ndege wa
Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es salaam kabla ya kuelekea Ikulu
kwaajili ya Mazungumzo na Dhifa ya Kitaifa.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli
akizungmza na Mgeni wake Rais wa Jamhuri
ya Kongo (DRC) Mhe. Felix Antonio Tshisekedi
katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es
salaam kabla ya kuelekea Ikulu kwaajili ya Mazungumzo na Dhifa ya Kitaifa.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John
Pombe Magufuli akipokea zawadi kutoka kwa Mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Kongo (DRC)
Mhe. Felix Antonio Tshisekedi Ikulu Jijini Dar es salaam kabla ya Mazungumzo na
Dhifa ya Kitaifa iliyofanyika Ikulu kwa Mwaliko wa Rais Dkt.Magufuli.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli akimkabidhiu zawadi ya Picha ya Wanyama Mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Kongo (DRC) Mhe. Felix Antonio Tshisekedi Ikulu Jijini Dar es salaam kabla ya Mazungumzo na Dhifa ya Kitaifa iliyofanyika Ikulu kwa Mwaliko wa Rais Dkt.Magufuli.
No comments:
Post a Comment