KatibuMkuuKiongoziBalozi John
Kijaziakizungumzanawaandishiwahabarikuhusuhatuailiyofikiwakatikamaandaliziyamkutanowa
39 wawakuuwanchinaSerikaliwaJumuiyayaMaendeleoyaKusinimwaAfrika (SADC)
utakaofanyikakatikaKituo cha Kimataifa cha Mikutano cha MwalimuNyerere (JNICC)
Jijini Dar es Salaam Agosti 17 na 18
mwakahuuambapoameridhishwanahatuailiyofikiwakatikamaandalizi,
Mkutanohuoutatanguliwana wiki yaviwandakuanziaAgosti 5 hadi 8, 2019
namikutanoyawataalamuwakisekta . KulianiKatibuMkuuKiongozinaKatibuwaBaraza
la Mapinduzi Zanzibar DktAbdulhamidYahyaMzee.
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi
John Kijazi amesema maandalizi ya Mkutano wa 39
wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa nchi wananchama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) unaotarajiwa kufanyika hapa nchini mwezi ujao yanaridhisha.
Ameyasema hayo wakati akikagua hatua iliyofikiwa katika maandalizi hayo katika Kituo
cha Kimataifa cha Mikutano cha Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam
amesema kuwa maandalizi yaliyobaki ni madogo na yako katika hatua za mwisho kukamilika ili kuwezesha mkutano huo kufanyika kwa ufanisi kama ilivyopangwa.
“Mkutano huo ni fursa kwa kila mwananchi na hasa kwa kuzingatia kuwa mikutano yoteya
SADC itafanyikahapanchinikwakipindichote cha mwakammojaambapo Tanzania
itakuwaMwenyekitiwaJumiyahiihivyokilasektaitanufaikaikiwemoutalii, usafirishajinamahoteli”
AlisisitizaBaloziKijazi
Akifafanuaamesemakuwakunaumuhimukwawananchikuhakikishakuwawanatumiavizurifursaya
wiki yaviwandainayotarajiwakuanzaAgosti 5 hadi 8
kuoneshabidhaawanazozalishailikukuzasokonakuwafikiawananchiwengizaidiwanchiwanachamawaJumuiyahiyo.
Aliongezakuwakumekuwanamuamkomkubwakutokakwawazalishajiwandaninakutokakatikanchiwanachamakushirikikatikamaoneshoyanneya
wiki yaviwandayatakayofanyikakablayamkutanowawakuuwanchinaSerikaliwanachamawa
SADC.
KwaupandewavyombovyahabariBaloziKijaziamesemakuwawanajukumukubwa
la kuhakikishakuwawanakuwawazalendokatikakipindi cha
mkutanohuokwakuandikanakuripotihabarizinazolengakujengataswiranzuriya Tanzania
ilikuwavutiawagenimbalimbaliwatakaofikawakatiwamkutanohuo.
Akizungumziasuala la
fursazamkutanohuokwawananchiamesemazitakuwakichocheo cha
kuletamaendeleokatikasektazautalii, usafirishaji
,hotelinanyinginenyingikutokananaidadikubwayawatuwatakaofikakatikamkutanohuonakatikakipindichote
cha mwaka 2019/2020.
Kwaupande wake
KatibuMkuuWizaraya Mambo yaNjenaUshirikianowaAfrikaMasharikiDktFarajiKasidiMnyepeamesemakuwamaandaliziyamkutanohuoyanaendeleavizurinayanaridhisha.
MkutanowawakuuwanchinaSerikaliwanchiwanachamawa
SADC utafanyikahapanchiniAgosti 17 na 18, 2019 ukitanguliwana wiki
yaviwandakuanziaAgosti 5 hadi 8, 2019 namikutanowawataalamuwasektambalimbali.
No comments:
Post a Comment