Habari za Punde

CCM wafanya Kongamano la Wazazi wa Mkoa wa Kusini Pemba

 Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kaskazini Pemba, Mberwa Hamad Mberwa ,akifunguwa Kongamano la Wazazi wa Mkoa wa Kusini Pemba, liliofanyika katika ukumbi wa Skuli ya Mohammed Juma Pinduwa Mkoani Pemba .
 Baadhi ya Wanachama wa Jumuiya ya Wazazi Mkoa wa Kusini Pemba , wakiwa katika Kongamano la Jumuiya hiyo lilifanyika katika Ukumbi wa Skuli ya Mohammed Juma Pinduwa , huko Mkoani Pemba ambalo 
 limefunguliwa na mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kaskazini Pemba, mzee Mberwa Hamad Mberwa.
Baadhi ya Wanachama wa Jumuiya ya Wazazi Mkoa wa Kusini Pemba , wakiwa katika Kongamano la Jumuiya hiyo lilifanyika katika Ukumbi wa Skuli ya Mohammed Juma Pinduwa , huko Mkoani Pemba ambalo 

 limefunguliwa na mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kaskazini Pemba, mzee Mberwa Hamad Mberwa.

PICHA NA JAMILA ABDALLA -MAELEZO PEMBA.


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.