Rais Mstaafu wa Zanzibar Mhe. Dkt.Amani Abeid Karume,
akisaini kitabu cha wageni katika banda la wajasiriamali wakinamama,
alipotembelea maonesho ya 43 ya Biashara ya kimataifa (sabasaba) yanayoendelea
katika viwanja vya JK Nyerere barabara ya Kilwa, Jijini Dar es Salaam.
Rais
Mstaafu-Zanzibar, Amani Abeid Karume, akipata maelezo kutoka kwa mjasiriamali
katika banda la Wajasiariamali kinamama, kuhusu Bidhaa zao alipotembelea
maonesho ya 43 ya Biashara ya kimataifa (sabasaba) yanayoendelea katika viwanja
JK Nyerere barabara ya Kilwa, Jijini Dar es Salaam.
Rais Mstaafu-Zanzibar, Amani Abeid Karume akipata maelezo kuhusu bidhaa za korosho kutoka moja ya makampuni ya kuzalisha korosho nchini alipotembelea maonesho ya 43 ya Biashara ya kimataifa (sabasaba) yanayoendelea katika viwanja vya JK Nyerere barabara ya Kilwa, Jijini Dar es Salaam.
Rais Mstaafu-Zanzibar, Amani Abeid Karume, akiangali jinsi bidhaa ya korosho inavyoandaliwa kutoka kwa mwandaaji wa Moja ya makampuni ya kuzalisha korosho yaliyoko kwenye maenesho ya baishara ya Kimataifa (sabasaba) yanayoendelea katika viwanja vya JK Nyerere barabara ya Kilwa, Jijini Dar es Salaam.
Rais Mstaafu-Zanzibar, Amani Abeid Karume, akichagua Korosho kutoka kwenye moja Makampuni yaliyoko kwenye maonesho ya biashara ya kimataifa (sabasaba) yanayoendelea katika viwanja vya JK Nyerere barabara ya Kilwa, Jijini Dar es Salaam.
Rais Mstaafu-Zanzibar, Amani Abeid Karume akipata maelezo kuhusu bidhaa za korosho kutoka moja ya makampuni ya kuzalisha korosho nchini alipotembelea maonesho ya 43 ya Biashara ya kimataifa (sabasaba) yanayoendelea katika viwanja vya JK Nyerere barabara ya Kilwa, Jijini Dar es Salaam.
Rais Mstaafu-Zanzibar, Amani Abeid Karume, akiangali jinsi bidhaa ya korosho inavyoandaliwa kutoka kwa mwandaaji wa Moja ya makampuni ya kuzalisha korosho yaliyoko kwenye maenesho ya baishara ya Kimataifa (sabasaba) yanayoendelea katika viwanja vya JK Nyerere barabara ya Kilwa, Jijini Dar es Salaam.
Rais Mstaafu-Zanzibar, Amani Abeid Karume, akichagua Korosho kutoka kwenye moja Makampuni yaliyoko kwenye maonesho ya biashara ya kimataifa (sabasaba) yanayoendelea katika viwanja vya JK Nyerere barabara ya Kilwa, Jijini Dar es Salaam.
Rais Mstaafu-Zanzibar,
Amani Abeid Karume, akiangalia transifoma lililotengenezwa hapa nchini na
kampuni ya Tropical walipotembelea banda lao katika maonesho ya 43 ya Biashara
ya kimataifa (sabasaba) yanayoendelea katika viwanja vya JK Nyerere barabara ya
Kilwa, Jijini Dar es Salaam.
Rais
Mstaafu-Zanzibar, Amani Abeid Karume na Mkewe Mama Shadya Karume wakiwa kwenye
sofa zilizotengenezwa na Jeshi la Magereza, wakati alipotembelea maonesho ya 43
ya Biashara ya kimataifa (sabasaba) yanayoendelea katika viwanja vya JK Nyerere
barabara ya Kilwa, Jijini Dar es Salaam.
(Picha na Idara ya Habari - Maelezo Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment