Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiwasili katika viwanja vya ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Zanzibar kuhudhuria Maadhimishi ya Siku ya Utumishi wa Umma, kulia Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma na Utawala Bora Zanzibar Mhe. Haroun Ali Suleiman na kushoto Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud. wakielekea katika ukumbi wa mkutano.
SOLWA WAZINDUA KAMPENI KWA KISHINDO! AHMED SALUM ATAKA MAKUNDI YAVUNJWE
-
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Solwa kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM)Ahmed
Ally Salum akionesha Ilani ya Uchaguzi ya CCM katika Jimbo la Solwa, kulia
ni Mweny...
40 minutes ago
No comments:
Post a Comment