Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.
Dkt.Harrison Mwakyembe (aliyeshika filimbi nyekundu) akionyesha ishara ya kuanza
kwa mbio za Capital City Marathon kwa niaba ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluh Hassan zilizofanyika leo Julai 07,2019
Jijini Dodoma.
Baadhi ya wanariadha walioshiriki mbio za
Capital City Marathon wakijiandaa kuanza mbio zilizofanyika leo
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.
Dkt.Harrison Mwakyembe akimkabidhi zawadi Bw.Rashid Ally baada ya kuibuka
mshindi wa kwanza katika mbio za Baiskeli Km.22 za Capital City Marathon
zilizofanyika leo Jijini Dodoma.
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.
Dkt.Harrison Mwakyembe akimkabidhi zawadi Bw.Godlisten Mmary
baada ya kuibuka mshindi wa kwanza katika mbio za walemavu za Capital
City Marathon zilizofanyika leo Jijini Dodoma.
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.
Dkt.Harrison Mwakyembe akimkabidhi zawadi Bw.Emmanuel Giniki baada ya kuibuka mshindi wa kwanza katika
mbio za Km. 21 kwa wanaume za Capital City Marathon zilizofanyika leo Jijini Dodoma.
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.
Dkt.Harrison Mwakyembe akimkabidhi zawadi Bi.Fabiola John baada ya kuibuka mshindi wa kwanza katika
mbio za Km. 10 kwa wanawake za Capital
City Marathon zilizofanyika leo Jijini Dodoma.Kulia ni Naibu
Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi,Ajira,Vijana na wenye ulemavu Mhe.Antony
Mavunde.
Mratibu wa Mbio za Capital City Marathon Bw.Nsolo
Mlozi akitoa neon la shukrani kwa washiriki wa mbio hizo zilizofanyika leo Julai 07,2019 Jijini
Dodoma.Kulia ni Waziri wa
Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe. Dkt.Harrison Mwakyembe.
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.
Dkt.Harrison Mwakyembe(Katikati ) akiwa katika picha ya pamoja na Washindi wa
mbio za Capital City Marathon kwa upande wa walemavu pamoja na viongozi wa
Mkoa,Chama na Serikali baada ya kumalizika
kwa mbio hizo zilizofanyika leo Julai 07,2019 Jijini Dodoma.
No comments:
Post a Comment