Habari za Punde

Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Museven Amaliza Ziara Yake Tanzania.

Rais wa Yoweri Museven wa Uganda akiagana na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar Es Salaam leo Sept 07,2019 baada ya kukamilisha Ziara yake ya kikazi ya siku Tatu hapa Nchini.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Rais wa Yoweri Museven wa Uganda kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar Es Salaam leo Sept 07,2019 baada ya kukamilisha Ziara yake ya kikazi ya siku Tatu hapa Nchini.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Yoweri Museven wa Uganda wakiwapungia mikono Wananchi mbalimbali waliofika kwa ajili ya kumuaga  kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar Es Salaam leo Sept 07,2019 baada ya kukamilisha Ziara yake ya kikazi ya siku Tatu hapa Nchini.


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimsindikiza Rais wa Yoweri Museven wa Uganda kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar Es Salaam leo Sept 07,2019 baada ya kukamilisha Ziara yake ya kikazi ya siku Tatu hapa Nchini.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimsindikiza Rais wa Yoweri Museven wa Uganda kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar Es Salaam leo Sept 07,2019 baada ya kukamilisha Ziara yake ya kikazi ya siku Tatu hapa Nchini.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Prof. Joice Ndalichako na Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa  Afrika Mashariki Prof. Palamagamba  Mwaluko Kabudi  wakipungia mikono Ndege iliyombeba Rais Yoweri Museven wa Uganda  kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar Es Salaam leo Sept 07,2019 baada ya Rais Museven kukamilisha Ziara yake ya kikazi ya siku Tatu hapa Nchini
(Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.