Tujikumbushe enzi za kahawa kuuziwa katika Dele maalum na wauzaji kuwa katika vazi kama hilo la kikoto na kupitisha mitaani na katika maeneo maalum ya kuuziwa kahawa katika Visiwa vya Zanzibar.Wachache wamewahi kuona na kwa sasa madele hayo yamebaki kuwa historia katika maduka ya kuuzia vitu vya Kitalii Zanzibar katika mitaa ya Mji Mkongwe wa Zanzibar utayakuta yakiwa katika maduka hayo.
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Imeahidi Kukabiliana na Hali ya Ugumu wa
Maisha
-
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali
Mwinyi akijumuika na Familia ya Mzee Daudi Suleiman Ali, alipofika nyumbani
kw...
14 minutes ago
No comments:
Post a Comment