Tujikumbushe enzi za kahawa kuuziwa katika Dele maalum na wauzaji kuwa katika vazi kama hilo la kikoto na kupitisha mitaani na katika maeneo maalum ya kuuziwa kahawa katika Visiwa vya Zanzibar.Wachache wamewahi kuona na kwa sasa madele hayo yamebaki kuwa historia katika maduka ya kuuzia vitu vya Kitalii Zanzibar katika mitaa ya Mji Mkongwe wa Zanzibar utayakuta yakiwa katika maduka hayo.
MHE. RAIS SAMIA APONGEZWA KUTEKELEZA MKAKATI WA TAIFA WA NISHATI SAFI YA
KUPIKIA KWA VITENDO
-
-Mitungi ya gesi 330 kugaiwa bure kwa Watumishi Magereza Simiyu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
amepongezwa kwa kute...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment