Habari za Punde

Uzinduzi wa SACCOS ya Jumuiya ya Wasomi wa Kitanzania Waliosoma Nchini China Yazinduliwa Jijini Dar es Salaam.

Balozi wa Jamuhuri ya Watu wa China Nchini Tanzania Bibi Wang  Ke akitoa salamu kwenye Mkutano wa Jumuiya ya Wasomi wa Kitanzania wanaosoma Nchini China uliofanyika Hoteli ya Hyyat Regence Jijini Dar es salaam.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akihutubia wakati wa hafla ya ufungaji wa Mkutano wa  Jumuiya ya Wasomi wa Kitanzania wanaosoma Nchini China { CAAT} hapo Hyat Regence Jijini Dar es salaam.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akikata utepe kuzindua Saccos  ya Jumuiya ya Wasomi wa Kitanzania wanaosoma Nchini China Mara baada ya  kuufungua  Mkutano wa Jumuiya hiyo hapo Hyat Regence Jijini Dar es salaam.
Balozi Seif  akizindua Mtandao wa Wasomi Wanawake wa Kitanzania wanaosoma Nchini China kwenye  baada ya kuufungua Mkutano wa Jumuiya ya {CAAT}  hapo Hyat Regence Jijini Dar es salaam.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiufungua Mkutano wa  Jumuiya ya Wasomi wa Kitanzania wanaosoma Nchini China { CAAT} hapo Hyat Regence Jijini Dar es salaam.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.