Habari za Punde

Kamishna wa Operesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi CP. Liberatus Sabas. Amefanya Mkutano wa Kuwashukuru Wananchi wa Pasua Boma Mbuzi Wilayani Moshi Mkoa wa Kilimanjaro.

Kamishna wa Operesheni na Mafunzo ya Jeshi la Polisi, CP Liberatus Sabas, akisalimiana na wakazi wa Pasua Boma Mbuzi wilayani Moshi mkoani Kilimanjaro baada ya kumalizika kwa kikao chake na wananchi hao aliowapongeza kwa kushirikiana na Vyombo vya Ulinzi na Usalama katika kupunguza uhalifu katika makazi yao
Kamishna wa Operesheni na Mafunzo ya Jeshi la Polisi, CP Liberatus Sabas akizungumza na wakazi wa Pasua Boma Mbuzi wilayani Moshi mkoani Kilimanjaro katika mkutano wake na wananchi juu ya kutatua matatizo madogo madogo huku akiwapongeza kwa kuhakikisha wamepunguza uhalifu kwenye makazi yao

Kamishna wa Operesheni na Mafunzo ya Jeshi la Polisi, CP Liberatus Sabas, akifurahia jambo na wanafunzi wa shule za msingi waliokuja kumsalimia baada ya kumalizika kwa mkutano wake na wananchi zaidi amewapongeza kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama katika kupunguza uhalifu kwenye makazi  yao. 
(Picha na Jeshi la Polisi)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.