Muonekano ya Jumba la Treni Darajani kabla ya kuaza kwa harakati za biashara katika eneo hilo maarufu Zanzibar kwa biashara za aina mbambali zinazofanyika katika eneo hilo kwa Wakazi wa Jijini la Zanzibar hufika kujipatia mahitaji yao ya kila siku kwa ajili ya matumizi ya nyumbani.
WAZIRI MAVUNDE ATAKA WATANZANIA KUPEWA KIPAUMBELE KUSAMBAZA BIDHAA NA
HUDUMA MIGODINI
-
▪️Aelekeza mabadiliko ya Kanuni ili kuruhusu uhaulishwaji teknolojia kwa
Kampuni za Kigeni
▪️Ataka Watanzania kuchangamkia Trilioni 5.3 za usambazaji bid...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment