Muonekano ya Jumba la Treni Darajani kabla ya kuaza kwa harakati za biashara katika eneo hilo maarufu Zanzibar kwa biashara za aina mbambali zinazofanyika katika eneo hilo kwa Wakazi wa Jijini la Zanzibar hufika kujipatia mahitaji yao ya kila siku kwa ajili ya matumizi ya nyumbani.
WAAZIMIA KUWABURUZA MAHAKAMANI WAHUJUMU MIUNDOMBINU YA UMEME TANDAHIMBA
-
-Wananchi watahadharishwa kuepuka vishoka
WENYEVITI wa Serikali za vijiji na vitongoji Wilaya ya Tandahimba Mkoa wa
Mtwara wamesema hawatakuwa na huruma kw...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment