Muonekano ya Jumba la Treni Darajani kabla ya kuaza kwa harakati za biashara katika eneo hilo maarufu Zanzibar kwa biashara za aina mbambali zinazofanyika katika eneo hilo kwa Wakazi wa Jijini la Zanzibar hufika kujipatia mahitaji yao ya kila siku kwa ajili ya matumizi ya nyumbani.
ROMBO MPYA YA KUWEKEZA KWENYE ELIMU - DC MWANGALA
-
Na Mwandishi wetu, Rombo
MKUU wa wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro, Raymond Mwangala amewataka
wakazi wa eneo hilo kuwekeza kwenye elimu kwani mataifa meng...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment