Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi Taifa Dkt. John Pombe akiwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM
Zanzibar Rais Dkt. Ali Mohamed Sheini, Katibu Mkuu Dkt. Bashiru Ally katika
picha ya pamoja na Viongozi wengine wa Chama mara baada ya Kikao cha ufunguzi
wa Majadiliano cha Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC)
chenye lengo la kupokea utekelezaji wa Serikali Ilani ya uchaguzi mkuu ya 2015
na kuandaa Ilani ya Chama hicho 2020
-2025 kilichofanyika Jijini Mwanza
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi Taifa Dkt. John Pombe akiwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM
Zanzibar Rais Dkt. Ally mohamed Sheini wakiimba wimbo wa chama na wajumbe
wengine katika hafla ya ufunguzi wa Kikao cha Majadiliano cha Wajumbe wa
Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) chenye lengo la kupokea
utekelezaji wa Serikali Ilani ya uchaguzi mkuu ya 2015 na kuandaa Ilani ya Chama hicho 2020 -2025 kilichofanyika Jijini Mwanza.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi Taifa Dkt. John Pombe akiwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM
Zanzibar Rais Dkt. Ally mohamed Sheini wakiimba wimbo wa chama na wajumbe
wengine katika hafla ya ufunguzi wa Kikao cha Majadiliano cha Wajumbe wa
Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) chenye lengo la kupokea
utekelezaji wa Serikali Ilani ya uchaguzi mkuu ya 2015 na kuandaa Ilani ya Chama hicho 2020 -2025 kilichofanyika Jijini Mwanza.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Taifa Dkt. John Pombe Magufuli akiongea
katika hafla ya ufunguzi wa Kikao cha Majadiliano cha Wajumbe wa
Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) chenye lengo la kupokea utekelezaji
wa Serikali Ilani ya uchaguzi mkuu ya 2015 na kuandaa Ilani ya Chama hicho 2020 -2025 kilichofanyika Jijini Mwanza.
Wajumbe
wa Halmshauri kuu ya CCM Taifa (NEC) wakimshangili Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha
Mapinduzi Taifa Dkt. John Pombe Magufuli akiongea katika hafla ya ufunguzi wa
Kikao cha Majadiliano cha Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa
(NEC) chenye lengo la kupokea utekelezaji wa Serikali Ilani ya uchaguzi mkuu ya
2015 na kuandaa Ilani ya Chama hicho
2020 -2025 kilichofanyika Jijini Mwanza.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Taifa Dkt. John Pombe Magufuli akiongea katika hafla ya ufunguzi wa Kikao cha Majadiliano cha Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) chenye lengo la kupokea utekelezaji wa Serikali Ilani ya uchaguzi mkuu ya 2015 na kuandaa Ilani ya Chama hicho 2020 -2025 kilichofanyika Jijini Mwanza.
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Taifa Dkt. John Pombe Magufuli akiwaaga Wajumbe
wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) mara baada ya Kikao cha ufunguzi
wa Majadiliano chenye lengo la kupokea utekelezaji wa Serikali Ilani ya
uchaguzi mkuu ya 2015 na kuandaa Ilani
ya Chama hicho 2020 -2025 kilichofanyika
Jijini Mwanza. Disemba 12,2019.
No comments:
Post a Comment