Habari za Punde

ELIMU YA MANUFAA YA HATIMILIKI ZA KIMILA ITOLEWE KWA WALENGWA WA MKURABITA

Naibu Waziri  Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mheshimiwa Dkt. Mary Mwanjelwa akizungumza na  wanakijiji wa Ntandabala kata ya Masoko Wilayani RUNGWE katika ziara ya kikazi ya kukagua mradi wa kurasimisha raslimali za wanyonge ( MKURABITA).

Na. Aaron Mrikaria - Rungwe.24 Januari, 2020
Watendaji wa Halmashauri zinazonufaika na Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge Tanzania (MKURABITA) watakiwa kubeba dhamana ya kutoa elimu kuhusu manufaa ya hatimiliki za kimila ili walengwa wa mpango huo wanufaike kupitia hati hizo.
Wito huo umetolewa jana na NaibuWaziri,OfisiyaRais,MenejimentiyaUtumishiwaUmmanaUtawala Bora, Mhe.Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) kwa WatendajiwaHalmashauri akiwa katika ziara ya kikazi Wilayani Rungwe yenye lengo la kukagua  utekelezaji wa miradi ya MKURABITA.
Mhe. Dkt. Mwanjelwa amesema nimetembeleamiradiya MKURABITA iliyopokatikabaadhiyaHalmashaurinakugunduakuwa WatendajiwaHalmashauriilipomiradihiyohawatekeleziwajibuwaowakuwaelimishawananchijuuyaumuhimuwakurasimisharaslimalinabiasharazao.
“MkurugenzinaMwenyekitiwaHalmashaurihakikishenikatikampangokaziwenumnaliwekea kipaumbelesualala elimu kuhusu MKURABITA kwasababulina manufaa kwa wananchi ambao Mhe. Rais, Dtk. John Pombe Magufuli amekuwa mstari wa mbele kuwawezesha”. 
Aidha, Dkt. Mwanjelwaamezishukurubaadhiyataasisizakifedhakwa kutambua Hatimiliki za Kimila na kutoa mikopoya zaidi ya shilingi milioni miatisa kwawakulimawa chai waWilayahiyo,ikiwemoBenkiya CRDB, NMB na SACCOS yakijiji cha Ntandabala.
Mratibuwa MKURABITA,Dkt. SerafiaMgembeamesemawananchiwaliopatahatimilikizakimilawanakabiliwanachangamotoyakutokujuanamnayakuzitumiahatihizokupatamikopoikiwemoujuziwakubunimiradinanamnayakuandikampangokaziwakuombeamkopo.
Dkt. Mgembe amezishauritaasisiza kifedhazifunguedirisha la kutoaelimukwawananchiiliiwerahisikwaokutambuanamnawanavyowezakupatamitajinakujiendelezakiuchumi.

Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) yuko mkoani Mbeya katika ziara ya kikazi ya kukagua utekelezaji  wa Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge Tanzania (MKURABITA).

Baadhi ya Wazee na Vijana wa kijiji cha Ntandabala kilichopo Kata ya Masoko Wilayani Rungwe Mkoani Mbeya wakimsikiliza, Naibu Waziri  Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mheshimiwa Dkt. Mary Mwanjelwa  alipokuwa akitoa ufafanuzi juu ya uamuzi wa serikali kuanzisha mpango wa kurasimisha raslimali za wanyonge (MKURABITA) na faida zake kwa wanufaika.
Baadhi ya akina Mama wa Kijiji cha Ntandabala kilichopo kata ya Masoko Wilayani Rungwe wakimshukuru  Naibu Waziri  Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mheshimiwa Dkt. Mary Mwanjelwa kwa kufanya ziara kijijini hapo na kutoa  maelekezo yatakayowasaidia kutatuliwa kero zao za kurasimishiwa maeneo yao na kunufaika na mikopo katika taasisi za fedha.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.