Habari za Punde

Wananchi Waipongeza NBS kwa Kufanya Tafiti Zinazochochea Maendeleo Endelevu

Mdadisi kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) Bi.Albina  Gabriel akifanya mahojiano na mkazi wa Kitongoji cha Bacho A, Kata ya Dareda Wilayani Babati Mzee Lohay Luhiyo Magara wakati wa zaozi la utafiti kuhusu hali ya Kaya, upatikanaji wa chakula, huduma za afya, ushirikishwaji wa wanawake katika kufanya maamuzi na masuala mengine yanayolenga kuleta ustawi wa wananchi, Utafiti huo unajulikana kama utafiti wa Feed the Future unaendelea kufanyika.
Mdadisi kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) Bi.Amina Jumanne akisisitiza jambo kwa mkazi wa Kitongoji cha Bacho A, Kata ya Dareda Wilayani Babati Bi. Sophia Petro wakati wa zoezi la Utafiti wa Feed the Future unaendelea kufanyika.
Mdadisi kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) Bi.Albina  Gabriel akimpima uzito mtoto Fabiano Christopher wa Kitongoji cha Bacho A, Kata ya Dareda Wilayani Babati Mkoani Manyara wakati wa Utafiti wa Feed the Future unaendelea kufanyika.
Mdadisi kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) Bi.Getrude Rwehumbiza akifanaya mahojiano na moja ya familia katika Kitongoji cha Bacho A, Kata ya Dareda Wilayani Babati Mkoani Manyara wakati wa utafiti wa Feed the Future unaendelea kufanyika. 

Mdadisi kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) Bi.Getrude Rwehumbiza akifanaya mahojiano na moja ya familia katika Kitongoji cha Bacho A, Kata ya Dareda Wilayani Babati Mkoani Manyara wakati wa utafiti wa Feed the Future unaendelea kufanyika. 
(Pichazotena NBS)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.