RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein
akisalimiana na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya CRDB Ndg. Ally
Hussein Laay, alipowasili katika ukumbi kwa mazungumzo na Ujumbe wa CRDB uliuofika Ikulu Jijini Zanzibar leo,
13-2-2020 kwa mazungumzo na kumtambulisha Mkurugenzi Mtendaji mpya wa CRDB.Ndg.
Abdulmajid Mussa Nsekela (kulia)
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,
akimsikiliza Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya CRDB Ndg. Ally
Hussein Laay, akitowa maelezo ya mafanikio ya Benki ya CRDB wakati wa
mazungumzo hayo na kumtambulisha Mkurugenzi Mtendaji mpya wa CRDB Ndg.
Abdulmajid Mussa Nsekela, hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini
Zanzibar,13-2-2020
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,
akimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Benki
ya CRDB Ndg. Abdulmajid Mussa Nsekela, alipofika Ikulu Jijini Zanzibar
kwa mazungumzo na kujitambulisha (kulia kwa Rais) Mwenyekiti wa Bodi ya
Wakurugenzi wa Benki ya CRDB Ndg. Ally Hussein Laay, hafla hiyo imefanyika leo
13-2-2020. Ikulu Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wac Baraza la Mapinduzi Mhe Dk. Ali Mohamed Shein akikabidhiwa jezi na Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB Ndg. Abdulmajid Mussa Nsekela, wakati walipofika kwa mazungumzo na kujitambulisha.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,
akiangali moja ya jezi aliyokabidhiwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya CRDB Ndg. Ally Hussein Laay (kulia kwa Rais) na Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB Ndg. Abdulmajid Mussa Nsekela, wakati walipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo na kumtambulisha Mkurugenzi Mtendaji Mpya wa CRDB.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein
akizungumza na Uongozi wa Benki ya CRDB ukiongozwa na Mwenyekiti wa Bodi ya
Wakurugenzi wa CRDB Ndg. Ally Hussein Laay ( kulia kwa Rais) na Mkurugenzi
Mtendaji wa Benk ya CRDB Ndg.Abdulmajid Mussa Nsekela, walipofika Ikulu Jijini
Zanzibar kwa mazungumzo na kumtambulisha Mkurugenzi Mtendaji mpya wa benki
hiyo, hafla hiyo imefanyika leo 13-2-2020.Ikulu Zanzibar.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,
akiwa na mgeni wake Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB.Ndg. Abdulmajid Mussa
Nsekela, na (katikati) Mwenyekiti wa
Bodi ya Wakurugenzi Benki ya CRDB Ndg.
Ally Hussein Laay, wakitoka katika ukumbi
baada ya kumaliza mazungumzo yao alipofika kujitambulisha leo 13- 2-2020
Ikulu Jijini Zanzibar
RAIS wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akiwa katika picha ya pamoja na wageni wake (kushoto
kwa Rais ) Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya CRDB. Ndg. Ally
Hussein Laay na (kulia kwa Rais) Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB.Ndg.
Abdulmajid Mussa Nsekela.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,
akimsikiliza Mwenyekiti wa Bodi ya
Wakurugenzi wa Benki ya CRDB. Ndg. Ally Hussein Laay (kulia kwa Rais) na
(kushoto kwa Rais) Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB. Ndg. Abdulmaji Mussa
Nsekela.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akisalimiana na kuagana na Mkuu wa Kiterngo cha Mahusiano wa CRDB.Bi. Esther Tully Mwambapa baada ya kumalizika kwa mazungumzo na kumtambulisha Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB Ndg. Abdulmajid Mussa Nsekela.
No comments:
Post a Comment