Muonekano wa bustani ya ufukwe wa bahari Forodhani Jijini Zanzibar hutumika kwa Wananchi na Wageni wakati wa jioni kujipumzisha na Vijana kutumia kwa kupiga kachumbe na kuogelea kama wanavyoonekani pichani katika eneo hilo la bustani hiyo.
GCLA INAENDELEA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KATIKA MAONESHO SABASABA
-
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlakla ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA), Dkt. Adam Fimbo
(kulia) akisaini kitabu cha wageni alipotembelea banda la Mamlaka ya
Maabara ya ...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment