Muonekano wa bustani ya ufukwe wa bahari Forodhani Jijini Zanzibar hutumika kwa Wananchi na Wageni wakati wa jioni kujipumzisha na Vijana kutumia kwa kupiga kachumbe na kuogelea kama wanavyoonekani pichani katika eneo hilo la bustani hiyo.
GASCO yatumia vifaa vya kisasa kuhakikisha usalama na afya mahala pa kazi
-
Mkuu wa Mkoa wa Singida Halima Dendego akipata maelezo kutoka Kampuni ya
Temba wa Gas Company Tanzania ( Gasco) Limited wakati alipotembelea Banda
la Kamp...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment