RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe,Dk. Ali Mohamed. Shein
akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar,
wakati wa kuwasilisha Utekelezaji wa Mpango Kazi kwa mwezi wa Julai hadi Disemba 2019 /2020,
uliofanyika ukumbi wa Ikulu 19-2-2020, Jijini Zanzibar
WAZIRI
wa Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar Mhe. Mahmoud Thabit Kombo
akiwasilisha muktasari wa Taarifa ya
Utekelezaji wa Mpango Kazi kwa mwezi wa Julai hadi Disemba 2019 /2020, (kulia)
Naibu Waziri wa Wizara ya Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar.Mhe. Choum Kombo Khamis
Baadhi ya Maofisa na Wakurugenzi wa Idara za Wizara ya
Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar, wakifuatilia taarifa ya Utekelezaji wa
Mpango Kazi kwa mwezi wa Julai hadi
Disemba 2019 /2020, wakati ikiwasilishwa taarifa hiyo na Katibu Mkuu.Bi.
Khadija Bakari Juma(hayupo pichani)
KATIBU Mkuu Wizara ya
Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar.Bi. Khadija Bakari Juma, akiwasilisha
taarifa ya Utekelezaji wa Mpango Kazi kwa Wizara yake kwa mwezi wa Julai hadi
Disemba 2019 /2020, uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar, kushoto
Naibu Katibu Mkuu Dkt. Saleh Yussuf Mnemo.
Baadhi ya Wakurugenzi wa Idara na Mashirika ya Wizara ya
Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar, wakifuatilia taarifa ya Utekelezaji wa
Mpango Kazi kwa mwezi wa Julai hadi
Disemba 2019 /2020, wakati ikiwasilishwa taarifa hiyo na Katibu Mkuu.Bi.
Khadija Bakari Juma(hayupo pichani)
MAOFISA
wa Idara na Mashirika ya Wizara ya
Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar, wakifuatilia taarifa ya Utekelezaji wa
Mpango Kazi kwa mwezi wa Julai hadi
Disemba 2019 /2020, wakati ikiwasilishwa taarifa hiyo na Katibu Mkuu.Bi.
Khadija Bakari Juma(hayupo pichani)
MKURUGENZI Idara ya Habari
Maelezo Zanzibar Dkt. Juma Mohammed Salum akijibu swali wakati wa mkutano wa
Utekelezaji wa Mpango Kazi wa Wizara ya Habari Utalii na Mambo ya Kale, kwa
mwezi wa Julai hadi Disemba 2019 /2020, uliofanyika ukumbi wa Ikulu Jijini
Zanzibar, ukiongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein.(hayupo pichani)
AFISA Mipango wa Shirika la Magazeti la Zanzibar Leo Bi.
Wanu Ali Makame akijibu swali wakati wa mkutano wa Utekelezaji wa Mpango Kazi
kwa mwezi wa Julai hadi Disemba 2019 /2020
KATIBU Mtendaji wa Tume ya
Utangazaji Zanzibar Ndg. Omar Said Ameir,(kulia ) Mkurugenzi Mipango Sera na
Utafiti Wizara ya Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar. Ndg Mahmoud Omar na
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar. Dkt. Saleh
Yussuf Mnemo, wakifuatilia taarifa hiyo ya Utrekelezaji wa Mpango Kazi kwa
mwezi Julai hadi Disemba 2019/2020
No comments:
Post a Comment