Washiriki wa Maandamano ya Uzinduzi wa Tamasha la Sauti za Busara Zanzibar wakipita katika Mitaa ya Mji Mkongwe Jijini Zanzibar wakielekea katika viwanja vya Forodhani kumalizia maandamano hayo katika viwanja hivyo. Uzinduzi huo umefanyika jana 13-2-2020.Maandamano hayo yameazia katika viwanja vya Mapinduzi Square Michezani Kisonge.
TAKUKURU MANYARA YAANDAA MPANGO KAZI WA MIEZI MITATU
-
*Mkuu wa TAKUKURU Mkoani Manyara, Holle Joseph Makungu akizungumza na
waandishi wa habari.*
*………………………………………………………………….*
*Na Mwandishi wetu, Babati*
*...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment