Washiriki wa Maandamano ya Uzinduzi wa Tamasha la Sauti za Busara Zanzibar wakipita katika Mitaa ya Mji Mkongwe Jijini Zanzibar wakielekea katika viwanja vya Forodhani kumalizia maandamano hayo katika viwanja hivyo. Uzinduzi huo umefanyika jana 13-2-2020.Maandamano hayo yameazia katika viwanja vya Mapinduzi Square Michezani Kisonge.
WASIRA:TUNAWASHUKURU VIONGOZI WA DINI WAMETUTIA NGUVU UCHAGUZI MKUU
-
Na Mwandishi Wetu, Michuzi TV- Dodoma
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Stephen Wasira amesema Chama
hicho kinawashukuru viongozi wa dini kw...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment