Washiriki wa Maandamano ya Uzinduzi wa Tamasha la Sauti za Busara Zanzibar wakipita katika Mitaa ya Mji Mkongwe Jijini Zanzibar wakielekea katika viwanja vya Forodhani kumalizia maandamano hayo katika viwanja hivyo. Uzinduzi huo umefanyika jana 13-2-2020.Maandamano hayo yameazia katika viwanja vya Mapinduzi Square Michezani Kisonge.
WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI YAZINDUA CHANJO ZA MIFUGO MKOANI GEITA
-
Na Nasra Ismail
Wizara ya Mifugo na Uvuvi leo imezindua chanjo ya homa ya mapafu kwa ngombe
mkoani Geita pamoja na kuzindua zoezi la uvikwaji wa hereni k...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment