BAADA ya Kukamilika kwa kazi za ujenzi wa sehemu ya kuwekewa taa za barabarani katika maeneo mbali mbali ya mji wa Chake Chake, pamoja na ufungaji wa taa hizo zinazotumia nishati ya Jua, hatia kwa mara ya kwanza wananchi wameanza kuona mabadiliko ya mji huo, pichani taa zikiwa zinawaka.(PICHA NA ABDI SULEIMAN)
ELIMU NISHATI SAFI YA KUPIKIA YAWAFIKIA WANAWAKE MKOANI MBEYA KUPITIA
KONGAMANO LA WANAWAKE NA FURSA ZA KIUCHUMI.
-
Mbeya.
Serikali kupitia Wizara ya Nishati imetoa wito kwa wananchi kuachana na
matumizi ya nishati chafu ya kupikia na kuchagua nishati safi kama njia ya...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment