BAADA ya Kukamilika kwa kazi za ujenzi wa sehemu ya kuwekewa taa za barabarani katika maeneo mbali mbali ya mji wa Chake Chake, pamoja na ufungaji wa taa hizo zinazotumia nishati ya Jua, hatia kwa mara ya kwanza wananchi wameanza kuona mabadiliko ya mji huo, pichani taa zikiwa zinawaka.(PICHA NA ABDI SULEIMAN)
TANZANIA NA ZAMBIA ZAKUBALIANA KUENDELEA KUTATUA CHANGAMOTO ZA BIASHARA
-
Serikali za Tanzania na Zambia zimefanikiwa kufuta kero nne kati ya kero 15
zilizokuwepo awali ili kurahisisha michakato ya biashara ya nchi hizo
kutegemea...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment