BAADA ya Kukamilika kwa kazi za ujenzi wa sehemu ya kuwekewa taa za barabarani katika maeneo mbali mbali ya mji wa Chake Chake, pamoja na ufungaji wa taa hizo zinazotumia nishati ya Jua, hatia kwa mara ya kwanza wananchi wameanza kuona mabadiliko ya mji huo, pichani taa zikiwa zinawaka.(PICHA NA ABDI SULEIMAN)
MNEC RUVUMA; VIJANA MSISHAWISHIKE KUINGIA KWENYE MAANDAMANO MKIPATA
CHANGAMOTO NI MZIGO KWA FAMILIA ZENU.
-
Wahitimu wa Vyuo mbalimbali wametakiwa kuepuka kutumiwa na baadhi ya vyama
vya siasa kujiingiza kwenye maandamano yakuleta uchochezi yanayolenga
kupele...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment