RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akielekea katika ukumbi wa mkutano wa
Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni
Jijini Zanzibar.(kushoto kwa Rais) Waziri wa Biashara na Viwanda Zanzibar Mhe. Balozi
Amina Salum Ali, Naibu Waziri wa Biashara na Viwanda Zanzibar Mhe. Hassan
Khamis Hafidh na (kulia kwa Rais) Mkuu wa Wilaya ya Mjini
Unguja. Bi, Marine Joe Thomas
KATIBU Mkuu Kiongozi na Katibu wa Baraza la
Mapinduzi. Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee akizungumza wakati wa hafla ya ufunguzi
wa Mkutano wa Jukwaa la kumi (10) la Biashara Zanzibar lililofanyika katika
ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar
WAZIRI wa Biashara na Viwanda Zanzibar. Mhe.
Balozi Amina Salum Ali akizungumza wakati wa hafla ya ufunguzi wa Mkutano wa
kumi wa Jukwaa la Biashara Zanzibar, uliofanyika katika ukumbi wa Sheikh.
Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia wakati akilifungua Jukwaa la
Kumi la Biashara Zanzibar, lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa
Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar, na kuwashirikisha Wadau wa Sekta Binafsi
na za Umma na Wafanyabiashara Zanzibar
.
BAADHI wa
Wajumbe wa Mkutano wa Jukwaa la Kumi (10) la Biashara Zanzibar,
wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali
Mohamed Shein.(hayupo pichani) akihutubia wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Julkwaa la 10 la Biashara
Zanzibar , lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni
Jijini Zanzibar
BAADHI ya Mawaziri wa Jamuhuri ya Muungano wa
Tanzania. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Anayeshughulikia Muungano na
Mazingira Mhe. Mussa Azzan Zungu na Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe Abdalla Ulega.
wakifuatilia hutuba ya ufunguzi wa Jukwaa la kumi la Biashara Zanzibar, wakati
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed
Shein, akihutubia (hayupo pichani)
GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania Profesa Florens
Luoga na kushoto Naibu Gavana wa Benki
Kuu Utawala na Udhibiti wa Ndani.(BOT)
Ndg.Julian Raphael Banzi na Naibu
Waziri wa Biashara na Viwanda Zanzibar Mhe. Hassan Khamis Hafidh, wakifuatilia
ufunguzi wa mkutano wa Jukwaa la kumi la
Biashara Zanzibar, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) akihutubia na kufungua jukwaa hilo,
lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar.
WAJUMBE wa Baraza la Taifa la Biashara
Zanzibar wakifuatilia hutuba ya ufunguzi
wa Mkutano wa Jukwaa la kumi la Biashara Zanzibar, wakati Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein.(hayupo pichani)
akihutubia na kulifungua katika ukumbi
wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar
RAIS wa Jumuiya yac Wafanyabiashara Zanzibar
(ZNCC) Ndg. Toufiq Salim Turky, akiwasilisha taarifa ya Jumuiya ya
Wafanyabiashara Zanzibar wakati wa ufunguzi wa Jukwaa la Kumi la Bishara
Zanzibar lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni
Jijini Zanzibar
WAZIRI
wa Viwanda na Biashara Mhe. Innocent Bashungwa akizungumza wakati wa hafla ya
ufunguzi wa Jukwaa la Kumi la Biashara Zanzibar, lililofanyika katika ukumbi wa
Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar, lililofunguliwa na Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi. Mhe.Dk. Ali Ali Mohamed Shein.
WAZIRI
wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Anayeshughulikia Muungano na Mazingira Mhe.
Mussa Azzan Zungu. Akizungumza wakati wa mkutano wa kumi wa Jukwaa la Biashara
Zanzibar, uliofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni
Jijini Zanzibar
KATIBU Mtendaji wa Baraza la Taifa la Biashara
Zanzibar. Ndg. Bakari Ali Bakari akiwasilisha Taarifa ya Braza wakati wa Jukwaa
la Kumi la Biashara Zanzibar,lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa
Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar.
BAADHI ya Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi
Zanzibar , wakifuatilia hutuba ya ufunguzi wa Jukwaa la kumi la Biashara
Zanzibar, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk.
Ali Mohamed Shein.(hayupo pichani) akihutubia na kulifungua katika ukumbi wa
Sheikh Idrisa Abdullwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar.
MKURUGENZI
Mtendaji wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Zanzibar (ZNCC) Ndg. Hamad Omar Hamad,
akiwasilisha taarifa ya Jumuiya ya Wafanyabiashara Zanzibar, wakati wa mkutano
wa Jukwaa la Kumi la Biashara Zanzibar linalofanyika katika ukumbi wa Sheikh
Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Zanzibar.
MUWASILISHAJI
Mada kutoka Tume ya Mipango Zanzibar.Ndg.Salim Saad, akiwasilisha Mada kuhusia
na Uchumi wa Bluu (Blue Economy) wakati wa mkutano wa Kumi wa Jukwaa la
Biashara Zanzibar linalofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil
Kikwajuni Jijini Zanzibar
BAADHI
Wajumbe wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Zanzibar wakifuatilia ufunguzi wa Mkutano
wa Kumi wa Jukwaa la Biashara Zanzibar, lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh
Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar.
BAADHI
Wajumbe wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Zanzibar wakifuatilia ufunguzi wa Mkutano
wa Kumi wa Jukwaa la Biashara Zanzibar, lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh
Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar.
No comments:
Post a Comment