Habari za Punde

Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan Atembelea Hospitali ya Mpya ya Mkoa wa Simiyu leo Akiwa Katika Ziara Yake.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wauguzi  wa Hospitali Mpya ya Mkoa wa Simiyu wakati alipotembelea Hospitali hiyo leo March 2020 kwa ajili ya kuangalia maendeleo ya kiutendaji ambapo ameridhishwa na hatua iliyofikiwa katika Hospitali hiyo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipata maelezo kutoka kwa Mganga Mkuu wa Hospitali Mpya ya Mkoa wa Simiyu Dk. Festo Dugange kuhusu Vifaa Vipya vilivyofungwa kwenye Hospitali hiyo leo March 07,2020 wakati alipotembelea kwa ajili ya kuangalia maendeleo ya kiutendaji ambapo ameridhishwa na hatua iliyofikiwa katika Hospitali hiyo. kushoto Waziri wa afya Ummy Mwalimu.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipata maelezo kutoka kwa Mganga Mkuu wa Hospitali Mpya ya Mkoa wa Simiyu Dk. Festo Dugange kuhusu Vifaa Vipya vilivyofungwa kwenye Hospitali hiyo leo March 07,2020 wakati alipotembelea kwa ajili ya kuangalia maendeleo ya kiutendaji ambapo ameridhishwa na hatua iliyofikiwa katika Hospitali hiyo. kushoto Waziri wa afya Ummy Mwalimu.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akitembelea Hospitali  Mpya ya Mkoa wa Simiyu Wilayani Bariadi leo March 07,2020. Makamu wa Rais yupo Mkoani Simiyu kwa ziara ya kikazi. kulia Waziri wa Afya Ummy Mwalimu, kushoto Mkuu wa Mkoa Simiyu Mhe. Antoni Mtaka.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.