Mradi wa Ujenzi wa Nyumba za Kisasa za Kwahani Jijini Zanzibar ukiendelea na ujenzi huo zinazojengwa na Kampuni ya Estim ya Tanzania, kama inavyoonekana pichani nyumba maendeleo yake yakienda kwa kwasi katika hatua ya kwanza kwa nyumba block tano kama inavyoonekana pichani.
VIKUNDI 49 VYA WANAWAKE WAJASIRIAMALI MBULU MJI KUPATA MIKOPO YA MILIONI 168
-
Na Mwandishi wetu, Mbulu
VIKUNDI 49 vya wanawake wajasiriamali waliopo kwenye Halmashauri ya Mji wa
Mbulu Mkoani Manyara, wanatarajia kupatiwa mikopo ya S...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment