Mradi wa Ujenzi wa Nyumba za Kisasa za Kwahani Jijini Zanzibar ukiendelea na ujenzi huo zinazojengwa na Kampuni ya Estim ya Tanzania, kama inavyoonekana pichani nyumba maendeleo yake yakienda kwa kwasi katika hatua ya kwanza kwa nyumba block tano kama inavyoonekana pichani.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mwenyekiti wa Chama Cha
Mapinduzi (CCM) Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan Awahutubia Wananchi wa Mkoa wa
Kaskazini Unguja Akiendelea na Mikutano yake ya Kampeni
-
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambae pia ni Mwenyekiti wa
CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu
H...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment