Mradi wa Ujenzi wa Nyumba za Kisasa za Kwahani Jijini Zanzibar ukiendelea na ujenzi huo zinazojengwa na Kampuni ya Estim ya Tanzania, kama inavyoonekana pichani nyumba maendeleo yake yakienda kwa kwasi katika hatua ya kwanza kwa nyumba block tano kama inavyoonekana pichani.
Michezo : Mbio za Kilomita 5 za Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani
Zafana, Jijini Arusha (World Press Freedom Day, 5K Fun Run)
-
Mbio za kilomita 5 za maadhimisho ya siku ya vyombo habari Duniani
zafanyika leo jijini Arusha, katika viwanja vya Ghymkana/ Mgambo.
Mbio hizo zilianzi...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment