Kumbukumbu ya Marehemu Marin Hassan Marin mwenye miwani enzi za uhai waki akiwa katika Skuli ya Sekondari ya Vikokotoni akiwa na Wanafunzi wezake katika eneo la skuli hiyo wakati wa mapumziko
Mwenyezi Mungu Ilaze Pema Roho ya Marehemu Peponi Marin Hassan Marin
Ameen.
No comments:
Post a Comment