Wafanyabishara ya maduka ya Sonara Mkunazini Mji Mkongwe wa Ungyuja wakiwa wameweka ndoo za maji na sabuni kwa ajili ya matumizi ya kunawa mikono kwa Wananchi wanaofika katika maduka hayo kupta huduma. kama inavyoonekani pichani hali halisi katika mtaa huo.
RUVUMA:JESHI LA POLISI WAMTIA MBARONI WIZI WA VIFAA NDANI YA MAGARINI HALFA
MINJA MKAZI WA SANAWALI JIJI LA ARUSHA
-
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma Kamishina msaidizi Mwandamizi
Marco Chilya,akionyesha baadhi ya kompyuta Mpakato(Laptop)zilizokamatwa na
Polisi k...
46 minutes ago
No comments:
Post a Comment