Habari za Punde

Wakuu wa Wiulaya na Wakurugenzi wa Halmahauri wa Unguja na Pemba Wakutana Kuweka Mkakati na Kupambana na Virusi vya Corona

Washiriki wa Kikao cha Mikakati ya kupambana na Maambukizo ya Virusi vya Corona COVID -19  wakiendelea na Kikao hicho kilichofanyika katika ukumbi wa Mkutano wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar, kikiongozwa na Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar.Ndg. Shaban Seif Mohammed.
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Nd. Shaaban Seif Mohamed, akisisitiza jambo wakati wa Kikao na Kamati za Maafa na Wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya za Unguja na Pemba juu ya kuweka Mikakati ya kupambana na maambukizo ya Virusi vya Corona Nchini. 

Mkuu wa Wilaya ya Kati Bi.Hamida Mussa Khamis akichangia Mada kwenye kikao cha pamoja cha Wenyeviti na Wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya za Unguja na Pemba.
Pichana – OMPR – ZNZ.


Na.Kassim Salum Abdi .OMPR.
WenyevitiwakamatizamaafazawilayapamojanawakurugenziwamanispaanahalmashauriwametakiwakusimamianakutekelezavyemamaagizonamaelekezoyakanunizaafyayanayotolewanaserikalikuuilikuziwekasalamaJamiiwanazosimamiakatikamaeneoyao.
KufanyahivyokutaisaidiaserikaliKuukatikamikakatiinayojiwekeayakuwalindawananchi wakehasawakatihuuwamapambanodhidiyakudhibitinakuzuiakueneakwavirusivya corona vinavyosababishahomayamafuamakalinamapafu.
KatibumkuuofisiyaMakamuwapiliwaRaiswa Zanzibar Nd. ShaabaniSeif Mohamed alielezahayokatikakikaomaalumchaWenyevitiwaKamatizakukabiliananamaafazawilayapamojanaWakurugenziwaManispaanaHalmashaurikutokaWilayazoteza Zanzibar hapoukumbiwa Sheikh IdrissAbduliwakiliuliopokikwajunikatikamanispaayajiji la Zanzibar.
Nd. ShaabanSeifalisemaviongozihaolazimawaachanenaTabiayamuhaliwakatiwakitimizawajibuwaowakazikwakusimamianjiazakungianchiniikiwemobandarirasminabandaribubuilikupambananaviahriambalimbalivinavyowezakusababishakuneakwamambukizoyavirusivyakoronapamojanakuzuwiamikusanyikoyawatuisiokuwayalazima.
KatibuMkuuShaabanalitiliamkazokauliiliotolewanaRaiswa Zanzibar naMwenyekitiwaBaraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed SheinkwakuwatakawananchikuachatabiayaukaidikatikakutekelezamaagizonamiongozoyaserikaliinayotolewakupitiawizarayaAfyailikuepukamadharaambayotayariyameshaathiribaadhiyamataifaDuniani.
Alielezakuwaendapowananchiwatapuuzamaagizoyanayotolewanaserikalikunauwezekanowakutokeakwaongezekowamaambukiziyavisurivinavyosababishahomayamafuamakalinakupelekeanchikukumbwanataharukihaliitakayosababishaserikalikuchukuamaamuzimagumu.
NaeNaibuMkurugenziMtendajiwaKamisheniyakukabiliananamaafa Zanzibar Muhidini Ali MuhudiniakiwasilishamaagizoyaliotolewanaSerikalikupitiaKamisheniyakukabiliananamaafaalisemaWenyevitiwaKamatizaMaafaWilayanaWakurUgenziwaWilayawanajukumukubwa la kuhakikishamikusanyikoyaWatuisiyoyalazimakwenyemaeneoyaoinaepukwawakatihuuwakipindi cha mpitowajangahilo.
WakiwasilishataarifayamwenendowamaradhiyaCorona MaafisakutokawizarayaAfya Zanzibar Ndugu Halima Ali KhamisnaNduguYahyaMbwanaMselemwalielezawizarayaAfyainaendeleanautaratibuwakuwasimamianakuwafuatiliawatuwaliokatikakarantiniambapojumlayawatu 182 wameruhusiwabaadayakumalizamudawaokuwakatikakipindi cha uwangalizi.
WakichangiakatikakikaohichowenyevitiwakamatizamaafapamojanawakurugenziwaWilayawalisemakutokananaongezeko la maambukizikueneandaniyanchiipohajakwawananchiwenyewekuchukuatahadharisambambanaserikalikuwekautaratibumaalumwakuwawekakarantiniwatuwanaotokamaeneomenginekwashughulimbalimbaliikiwemouvuvi.



KassimSalum Abdi
OfisiyaMakamuwaPiliwaRaiswqa Zanzibar
08/04/2020.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.