Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk. Ali Mohamed Shein Alihutubia Baraza la Eid Alhajj Ukumbi wa Mitihani Skuli ya Bumbwini Unguja leo.

Msafara wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk. Ali Mohamed Shein, ukiongozwa na mapikipiki ya ukiwasili katika viwanja vya ukumbi wa Mitihani wa Skuli ya Sekondari ya Bumbwini Wilaya ya Kaskazini "B" Unguja kuhudhuria hafla ya Baraza la Eid  Alhajj lililofanyika Kitaifa Wilaya hiyo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk. Ali Mohamed Shein akiwasili katika viwanja vya ukumbi wac Mitihani Skuli ya Sekondari Bumbwini akielekea katika eneo liliandaliwa kupokea Salamu za heshima kutoka katika Gwaride Maalum la Kikosi cha FFU.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Alhajj Dk. Ali Mohamed Shein akipokea Salamu ya heshima kutoka katika Gwaride Maalum la Kikosi cha FFU, iliofanyika katika viwanja vya Ukumbi wa Mitihani wa Skuli ya Bumbwini Wilaya ya Kaskazini “B” Unguja.
WAZIRI wa Sheria na Katiba Zanzibar Mhe. Khamis Juma Mwalim akizungumza kabla ya kumkaribisha mgeni rasmin Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Alhajj Dk. Ali Mohamed Shein, kulihutubia Baraza la Eid Alhajj lililofanyika katika ukumbi wa Mitihani Skuli ya Bumbwini Wilaya ya Kaskazini “B” Unguja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Alhajj Dk. Ali Mohamed Shein akiwahutubia Wananchi wa Zanzibar katika Baraza la Eid Alhajj lililofanyika Kitaifa Wilaya ya Kaskazini “B” Unguja katika ukumbi wa Mitihani Skuli ya Bumbwini.
VIONGOZI wa Serikali na Wananchi wakifuatilia hutuba ya Baraza la Eid Alhajj wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Alhajj Dk. Ali Mohamed Shein,(hayupo pichani) akilihutubia katika ukumbi wa mitiha wa Skuli ya Bumbwini Wilaya ya Kaskazini “B” Unguja lililofanyika Kitaifa mwaka huu.
WANANCHI na Waumini wa Dini ya Kiislam Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Baraza la Eid Alhajj, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Alhajj Dk. Ali Mohamed Shein, akilihutubia katika Ukumbi wa Mitihani wa Skuli ya Sekondari Bumbwini Wilaya ya Kaskazini “B” Unguja 
WANANCHI na Waumini wa Dini ya Kiislam Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Baraza la Eid Alhajj, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Alhajj Dk. Ali Mohamed Shein, akilihutubia katika Ukumbi wa Mitihani wa Skuli ya Sekondari Bumbwini Wilaya ya Kaskazini “B” Unguja 
WANANCHI na Waumini wa Dini ya Kiislam Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Baraza la Eid Alhajj, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Alhajj Dk. Ali Mohamed Shein, akilihutubia katika Ukumbi wa Mitihani wa Skuli ya Sekondari Bumbwini Wilaya ya Kaskazini “B” Unguja 
WANANCHI na Waumini wa Dini ya Kiislam Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Baraza la Eid Alhajj, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Alhajj Dk. Ali Mohamed Shein, akilihutubia katika Ukumbi wa Mitihani wa Skuli ya Sekondari Bumbwini Wilaya ya Kaskazini “B” Unguja 
WANANCHI na Waumini wa Dini ya Kiislam Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Baraza la Eid Alhajj, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Alhajj Dk. Ali Mohamed Shein, akilihutubia katika Ukumbi wa Mitihani wa Skuli ya Sekondari Bumbwini Wilaya ya Kaskazini “B” Unguja 
WANANCHI na Waumini wa Dini ya Kiislam Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Baraza la Eid Alhajj, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Alhajj Dk. Ali Mohamed Shein, akilihutubia katika Ukumbi wa Mitihani wa Skuli ya Sekondari Bumbwini Wilaya ya Kaskazini “B” Unguja 
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Alhajj Dk. Ali Mohamed Shein, akiitikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Saleh Omar Kabi, baada ya kumalizika kwa hutuba ya Baraza la Eid Alhajj lililofanyika katika ukumbi wa Mitihani wa Skuli ya Sekondari Bumbwini, na (kulia kwa Rais) Waziri wa Sheria na Katiba Zanzibar Mhe. Khamis Juma Mwalim na Makamu wa Rais wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan wakiitikia dua
WAUMINI wa Dini ya Kiislam na wageni waalikwa wakiitikia dua baada ya kumalizika kwa hafla ya Baraza la Eid Alhajj lililofanyika katika ukumbi wa Mitihani wa Skuli ya Sekondari Bumbwini Wilaya ya Kaskazini “B” Unguja.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Alhajj Dk. Ali Mohamed Shein. akiwapungia mkono Wananchi wa Bumbwini baada ya kumalizika kwa hafla ya Baraza la Eid Alhajj lililofanyika Kitaifa katika Ukumbi wa Mitihani Skuli ya Sekondari Bumbwini Wilaya ya Kaskazini “B” Unguja

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Alhajj Dk.Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Mama Fatma Karume,baada ya kumalizika kwa hafla ya bara la Eid Alhajj lililofanyika Kitaifa Wilaya ya Kaskazini “B” Unguja 

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Alhajj Dk. Ali Mohamed Shein akisalimiana na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa ambae pia ni Mgombea Urais wa Zanzibar Mhe. Dkt. Hussein Mwinyi, wakifurahia jambo baada ya kumalizika kwa hafla ya Baraza la Eid Alhajj lililofanyika katika ukumbi wa Mitihani wa Skuli ya Sekondari Mahonda.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.