Msafara wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk. Ali Mohamed Shein, ukiongozwa na mapikipiki ya ukiwasili katika viwanja vya ukumbi wa Mitihani wa Skuli ya Sekondari ya Bumbwini Wilaya ya Kaskazini "B" Unguja kuhudhuria hafla ya Baraza la Eid Alhajj lililofanyika Kitaifa Wilaya hiyo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk. Ali Mohamed Shein akiwasili katika viwanja vya ukumbi wac Mitihani Skuli ya Sekondari Bumbwini akielekea katika eneo liliandaliwa kupokea Salamu za heshima kutoka katika Gwaride Maalum la Kikosi cha FFU.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Alhajj Dk. Ali Mohamed Shein akipokea Salamu ya heshima kutoka
katika Gwaride Maalum la Kikosi cha FFU, iliofanyika katika viwanja vya Ukumbi
wa Mitihani wa Skuli ya Bumbwini Wilaya ya Kaskazini “B” Unguja.
WAZIRI wa Sheria na Katiba Zanzibar Mhe. Khamis
Juma Mwalim akizungumza kabla ya kumkaribisha mgeni rasmin Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Alhajj Dk. Ali Mohamed Shein, kulihutubia
Baraza la Eid Alhajj lililofanyika katika ukumbi wa Mitihani Skuli ya Bumbwini
Wilaya ya Kaskazini “B” Unguja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Alhajj Dk. Ali Mohamed Shein akiwahutubia Wananchi wa Zanzibar
katika Baraza la Eid Alhajj lililofanyika Kitaifa Wilaya ya Kaskazini “B”
Unguja katika ukumbi wa Mitihani Skuli ya Bumbwini.
VIONGOZI wa Serikali na Wananchi wakifuatilia
hutuba ya Baraza la Eid Alhajj wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi Mhe.Alhajj Dk. Ali Mohamed Shein,(hayupo pichani) akilihutubia
katika ukumbi wa mitiha wa Skuli ya Bumbwini Wilaya ya Kaskazini “B” Unguja
lililofanyika Kitaifa mwaka huu.
WANANCHI na Waumini wa Dini ya Kiislam Zanzibar
wakifuatilia hutuba ya Baraza la Eid Alhajj, wakati Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Alhajj Dk. Ali Mohamed Shein,
akilihutubia katika Ukumbi wa Mitihani wa Skuli ya Sekondari Bumbwini Wilaya ya
Kaskazini “B” Unguja
WANANCHI na Waumini wa Dini ya Kiislam Zanzibar
wakifuatilia hutuba ya Baraza la Eid Alhajj, wakati Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Alhajj Dk. Ali Mohamed Shein,
akilihutubia katika Ukumbi wa Mitihani wa Skuli ya Sekondari Bumbwini Wilaya ya
Kaskazini “B” Unguja
WANANCHI na Waumini wa Dini ya Kiislam Zanzibar
wakifuatilia hutuba ya Baraza la Eid Alhajj, wakati Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Alhajj Dk. Ali Mohamed Shein,
akilihutubia katika Ukumbi wa Mitihani wa Skuli ya Sekondari Bumbwini Wilaya ya
Kaskazini “B” Unguja
WANANCHI na Waumini wa Dini ya Kiislam Zanzibar
wakifuatilia hutuba ya Baraza la Eid Alhajj, wakati Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Alhajj Dk. Ali Mohamed Shein,
akilihutubia katika Ukumbi wa Mitihani wa Skuli ya Sekondari Bumbwini Wilaya ya
Kaskazini “B” Unguja
WANANCHI na Waumini wa Dini ya Kiislam Zanzibar
wakifuatilia hutuba ya Baraza la Eid Alhajj, wakati Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Alhajj Dk. Ali Mohamed Shein,
akilihutubia katika Ukumbi wa Mitihani wa Skuli ya Sekondari Bumbwini Wilaya ya
Kaskazini “B” Unguja
WANANCHI na Waumini wa Dini ya Kiislam Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Baraza la Eid Alhajj, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Alhajj Dk. Ali Mohamed Shein, akilihutubia katika Ukumbi wa Mitihani wa Skuli ya Sekondari Bumbwini Wilaya ya Kaskazini “B” Unguja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Alhajj Dk. Ali Mohamed Shein, akiitikia dua ikisomwa na Mufti
Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Saleh Omar Kabi, baada ya kumalizika kwa hutuba ya
Baraza la Eid Alhajj lililofanyika katika ukumbi wa Mitihani wa Skuli ya
Sekondari Bumbwini, na (kulia kwa Rais) Waziri wa Sheria na Katiba Zanzibar
Mhe. Khamis Juma Mwalim na Makamu wa Rais wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
wakiitikia dua
WAUMINI wa Dini ya Kiislam na wageni waalikwa
wakiitikia dua baada ya kumalizika kwa hafla ya Baraza la Eid Alhajj lililofanyika
katika ukumbi wa Mitihani wa Skuli ya Sekondari Bumbwini Wilaya ya Kaskazini
“B” Unguja.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Alhajj Dk. Ali Mohamed Shein. akiwapungia mkono Wananchi wa
Bumbwini baada ya kumalizika kwa hafla ya Baraza la Eid Alhajj lililofanyika
Kitaifa katika Ukumbi wa Mitihani Skuli ya Sekondari Bumbwini Wilaya ya
Kaskazini “B” Unguja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Alhajj Dk.Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Mama Fatma
Karume,baada ya kumalizika kwa hafla ya bara la Eid Alhajj lililofanyika
Kitaifa Wilaya ya Kaskazini “B” Unguja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Mhe.Alhajj Dk. Ali Mohamed Shein akisalimiana na Waziri wa
Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa ambae pia ni Mgombea Urais wa Zanzibar Mhe.
Dkt. Hussein Mwinyi, wakifurahia jambo baada ya kumalizika kwa hafla ya Baraza
la Eid Alhajj lililofanyika katika ukumbi wa Mitihani wa Skuli ya Sekondari
Mahonda.
No comments:
Post a Comment